• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MIAKA minne ya Rais Samia ,Ruvuma bado gwiji la uzalishaji mazao ya chakula nchini

Imewekwa kuanzia tarehe: March 6th, 2025

Mkoa wa Ruvuma umeendelea kuwa na usalama wa chakula kwa zaidi ya miaka kumi na mbili mfululizo, ukiwa na ziada ya tani 1,485,763.76 za chakula.

 Afisa Kilimo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,Onesmo Ngao anasema Katika msimu wa 2023/2024. Mkoa ulizalisha tani 1,955,763.76 za mazao ya chakula dhidi ya mahitaji ya tani 470,000, hivyo kuzidi mahitaji kwa kiwango kikubwa.

Hali hii imeufanya Mkoa wa Ruvuma kuendelea kuongoza kitaifa katika uzalishaji wa mazao ya chakula, hususan zao la mahindi.

Ngao anasema Kwa msimu wa kilimo wa 2024/2025, mkoa umepanga kulima hekta 1,379,036 za mazao ya chakula, biashara na bustani, ukitarajia mavuno ya tani 2,158,704. Kati ya hizo, hekta 998,745 ni za mazao ya chakula yatakayotoa tani 1,842,503, huku hekta 363,055 zikihusisha mazao ya biashara yenye matarajio ya tani 101,252.

Katika msimu wa kilimo wa 2023/2024, mkoa ulizalisha jumla ya tani 2,052,449.09 za mazao, ambapo tani 1,955,763.76 zilikuwa za mazao ya chakula na tani 96,685.33 za mazao ya biashara.

Katika msimu huo,Mkoa ulilenga kulima hekta 1,006,325, huku matarajio yakiwa mavuno ya tani 2,168,041. Hekta 642,906 zilitengwa kwa kilimo cha mazao ya chakula, zikitarajiwa kuzalisha tani 1,882,473, huku hekta 348,441 zikihusisha mazao ya biashara yenye matarajio ya tani 100,557. Mazao ya bustani yalihusisha hekta 14,978, yakitarajiwa kutoa tani 185,012.

Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan  imeendelea kuwezesha upatikanaji wa pembejeo, ambapo hadi tarehe 31 Desemba 2024, jumla ya tani 82,120 za mbolea ziliingizwa katika mkoa wa Ruvuma. Kati ya hizo, tani Zaidi ya 55,488.886 tayari zimesambazwa kwa wakulima, huku mahitaji yakiwa tani 113,000.

Mkoa unaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali kuhakikisha pembejeo zinawafikia wakulima kwa wakati ili kuongeza uzalishaji wa mazao msimu ujao.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.