• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

Mkoa wa Ruvuma ulivyojipanga kukabiliana na homa ya Mpox

Imewekwa kuanzia tarehe: August 22nd, 2024

Mkoa wa Ruvuma unaendelea kuchukua hatua madhubuti  za kupambana na ugonjwa wa homa ya nyani (Mpox).

 Hayo yameelezwa na Mratibu wa Huduma za Chanjo Mkoa wa Ruvuma Winbroad Mvile kwenye kikao cha tathmini ya lishe, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea.

Mvile ameutaja ugonjwa wa Mpox kuwa unasababishwa na virusi ambavyo kwa sasa havina tiba, na njia pekee ya kupambana nao ni kuchukua tahadhari za kujikinga, ikiwemo kuepuka kugusana na wanyama au watu waliopata maambukizi.

"Mkoa wa Ruvuma umechukua hatua kadhaa kupambana na kuzuia Ugonjwa wa Mpox halmashauri zote za Mkoa zimeagizwa kujiandaa dhidi ya ugonjwa wa Mpox’’, alisema.

Hata hivyo amesema timu za ufuatiliaji wa Mpox zinafanya ufuatiliaji ili kufahamu kama Kuna dalili za uwepo wa ugonjwa huu katika mkoa wa Ruvuma.

Amebainisha kuwa hadi sasa, hakuna mgonjwa yeyote aliyethibitishwa kuwa na maambukizi ya Mpox nchini ingawa nchi jirani kama Congo na Uganda tayari zimekuwa na visa vya ugonjwa huu

Amesema elimu juu ya ugonjwa wa Mpox na namna ya kujikinga nayo imeshatolewa katika taasisi za serikali na mikusanyiko mbalimbali, ili kuhakikisha jamii inatambua athari zake na namna ya kujikinga

Amebainisha kuwa halmashauri zote za mkoa wa Ruvuma  zimetenga wodi maalum kwa ajili ya kuwahudumia waathirika wa Mpox, endapo watabainika.

Mpox ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Mpox ambapo awali  ugonjwa huo ulijulikana kama ugonjwa wa monkey pox (ugonjwa wa nyani) na virusi hivi kwa kawaida ushambulia wanyama hususani nyani na panya.

Mratibu wa Huduma za Chanjo Mkoa wa Ruvuma Winbroad Mvile

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.