• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKOA wa Ruvuma umeweka mikakati ya kuibua vipaji mashuleni

Imewekwa kuanzia tarehe: August 31st, 2022


MKOA wa Ruvuma, kupitia ofisi ya maendeleo ya michezo, utamaduni na vijana, imepanga mikakati ya kuibua vipaji mashuleni mkoani umo.

Hayo yameelezwa na afisa maendeleo ya michezo, utamaduni na vijana, wa Mkoa wa Ruvuma, Antony Luoga, ameeleza namna mkoa ulivyo amua kutilia mkazo kwenye kuibua vipaji mashuleni

Alisema mkoa umepanga kusisitiza somo la elimu ya michezo kufundishwa kila shule, pia kusisitiza michezo ifanyike mara kwa mara na kwakufanya hivyo tutaweza  kuhibua vipaji vingi na kama serikali tunaweza kuviendeleza.

“Na hiyo itasaidia kutoa fursa kwa wanafunzi mara kwa mara kujifunza  sheria za mchezo husika, lakini pia kupata ujuzi  ambao utasaidia  uendelezaji wa vipaji vya hawa watoto, lakini kuusaidia mkoa kufanya vizuri katika mashindano yake mbalimbali”alisema Luoga.

Luoga amewaomba wadau mbalimbali ambao wanao uwezo wa kuibua vipaji na kuviendeleza vili vile  kuunga mkono serikali, pamoja kwamba michezo ujenga afya lakini kwa kiasi kikubwa sasa ni ajira hivyo wito wa serikali tunaomba wadau kuweza kujitokeza kushirikiana na serikali katika kuendeleza vipaji

Alisema serikali inatambua changaomoto za miundo mbinu kwa michezo mbalimbali, kama mkoa tumeanza kisisitiza kila halmashauri, waweze kuboresha miundo mbinu, lakini kama mkoa tumetapa shule tatu ili kuendeleza vipaji vya wanafunzi

Hata hivyo aliongeza kusema kama mkoa wameitenga shule maalumu  ya maanje  sekondari,  kuwa ni shule ya michezo ambapo wanafunzi wote waliofikia levo ya kitaifa katika mashindano watachukuliwa na kupelekwa uko asa wanao faulu  shule za msingi wapelekwe kuendeleza vipaji vyao.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.