• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKOA wa Ruvuma wafanya kikao cha tathimini ya lishe

Imewekwa kuanzia tarehe: July 27th, 2020

Mkoa wa Ruvuma kwa upande wa Lishe bora imekuwa ni  changamoto  kwa wananchi kutowekea kipaumbele na uelewa mdogo katika ngazi ya familia na Halmashauri.

Akisoma taarifa ya lishe ya Mkoa wa Ruvuma kwenye kikao cha tathimini  ya lishe kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Isabela Chilumba amesema Mkoa wa Ruvuma una asilimia 41 ya lishe ambayo bado ni ya chini kulingana na hali ya uchumi wa kati wa nchi ya Tanzania tuliyofikia.

 Amesema Serikali kwa kutambua umuhimu na kutambua afua za lishe nchini imetoa msukumo zaidi kwa kuimarisha afya ilisainisha mkataba wa utekelezaji wa afua za Lishe kati ya waheshimiwa wa mikoa wote Tanzania bara tarehe 19 Disemba 2017,Wziri wa Nchi ofisi ya Rais TAMISEMI Selemani Jafo kwa niaba ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuanza kutekelezwa Januari 2018.

Hata hivyo amesema utekeleza wa viashiria vya Mkataba umekuwa hautekelezwi kwa ufanisi kwa Mkoa wa Ruvuma  kama ilivyopangwa Mkoa uliamua kupeleka nguvu ya kupambana na utapiamlo katika ngazi ya jamii,Wakurugenzi wa Halmashauri zote za Mkoa walisainishana mkataba wa Lishe na Mafisa  watendaji Kata ambao nao walisainishana na watendaji wa Vijiji.

‘’Mkoa unatakiwa kufanya Tathimini mara mbili kwa mwaka ,kila baada ya miezi sita, aidha kwa ngazi ya Taifa ya Ofisi ya Rais TAMISEMI Tathimini hiyo itafanyika mara moja kwa mwaka na Halmashauri zote zinatakiwa kufanya Tathmini kila robo mwaka na kuwasilisha taarifa ngazi ya Mkoa’’,alisema Chilumba.

Hata hivyo amesema Halmashauri ni kitovu cha utekelezaji wa afua za Lishe katika Mkoa na kwamba katika kukabiliana na utapia mlo kuwe na mikakati au rasilimali watu na  fedha zitengwe kila Halmashauri kwenye bajeti kutoka kwenye vyanzo vya mapato kwa ajili ya kuboresha lishe kwa kila mtoto mwenye umri chini ya miaka mitano.

Ameagiza kila mdau wa Lishe katika mkoa aoneshe mchango wake bayana katika kukabiliana na utapia mlo  katika eneo analofanyia kazi  na kuonesha mbinu ya kukabiliana na tatizo hilo  ili kuwezesha hatua stahiki kuchukuliwa.

Imeandikwa na Anet Ndonde

Ofisi ya Habari Mkoa wa Ruvuma

Julai 27,2020

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.