• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKUU wa Mkoa awafunda walimu wa sekondari

Imewekwa kuanzia tarehe: January 21st, 2024

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Kanal Laban Thomas amefanya kikao cha kujadili Maendeleo ya Elimu na Maafisa Elimu,Walimu wakuu wa sekondari Mkoa.

Akizungumza katika Kikao hicho Mkuu wa Mkoa amewaasa walimu kuwa na upendo wa dhati wa kukaa na kutenga mda wa kuzungumza changamoto zao binafsi na kuzifikisha katika uongozi husika.

“Hata yale mliyowasilisha kwa Mwenyekiti wenu sijaona changamoto binafsiisipokuwa pesa za uhamisho,lakini Serikali ya Rais Samia inajitahidi sana kulipa madeni  ya Walimu”.

Hata hivyoMkuu wa Mkoa  amesema  changamoto ya walimu kuhamishwa bila utaratibu pamoja na kujiona wengine wanamamlaka.

“Jana nimetoa maelekezo kwa wakurugenzi wasitoe Uhamisho kama hakuna sababu ya msingi na akitoa ahakikishe anamlipa baada ya kulundika madeni kila wakati”.

Mkuu wa Mkoa ametoa rai kwa Walimu kuzingatia mavazi wawapo katika eneo la Shule ili wanafunzi waweze kufuata mfano mzuri kwa ufaaji wa walimu wao.

“ mimi smati niliiga kutoa kwa Mkuu wangu wa Shule Otieno,alikwa anatuambia ukiitwa sehemu lazima ujue unavaa mavazi ya aina gani unakuta mwalimu kapiga dela na ndala, mwanaume kapiga suluari kamatia chini, mwanafunzi anajifunza nini au tisheti za chama cha walimu tangia mwaka 1191”.

Hata hivyo Mkuu wa Mkoa amewaasa walimu kuangalia maendeleo binafsi kuwa baada ya mda kuna kustaafu hivyo wahakikishe wanaandaa maisha na wakumbuke wanafamilia.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.