• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma afungua minada ya mazao kwa mfumo wa stakabadhi ghalani

Imewekwa kuanzia tarehe: April 24th, 2020

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme Aprili 24,2020 amefungua rasmi minada ya mazao kwa mfumo wa  stakabadhi ghalani katika Mkoa wa Ruvuma kwa msimu wa mwaka 2019/2020.

Ufunguzi huo umefanyika ofisini kwake mjini Songea mbele ya wanahabari wachache bila kuwa  mkusanyiko wa watu ili kukabiliana na maambukizi ya virusi hatari vya corona.

Mndeme akizungumza kwenye uzunduzi huo ameyataja mafanikio yaliyopatikana katika msimu uliopita wa 2018/2019 kuwa ni kuongezeka kwa pato la mkulima kutokana na mauzo mazuri.

Amesema katika msimu huo katika zao la ufuta ziliuzwa kilo 8,428,268 kwa wastani wa bei ya shilingi 2,959 kwa kilo ambazo ziliwawezesha wakulima kupata zaidi ya shilingi bilioni 24.

“Katika kipindi hicho zao la soya zilizopatikana ni kilo 2,858,383 ambazo ziliuzwa kwa wastani wa bei ya shilingi 750 na kuwawezesha wakulima kupata kiasi cha shilingi  bilioni 2,143,787,250.00 kupitia minada ya Namtumbo na Songea’’,alisema.

Hata hivyo Mndeme amesema katika kipindi hicho zao la mbaazi   zilipatikana kilo 773,543 ambazo ziliuzwa kwa wastani wa shilingi 700  kwa kilo  na kuwawezesha wakulima kupata zaidi ya shilingi milioni 541.

Kwa mujibu wa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,matarajio ya msimu huu ni kukusanya na kuuza ufuta na soya zaidi ya  tani 12,108 na mbaazi tani 17,711 na kwamba minada hiyo itafanyika katika vituo vitatu ambavyo ni Songea,Namtumbo na Tunduru.

Hata hivyo amesema  mnada huo utakuwa na watu wachache wanaowakilisha wakulima  na wanunuzi ili kuondoa mikusanyiko kwa lengo la kujikinga na maambukizi  ya ugonjwa wa korona kama inavyoshauriwa na watalaam wa afya.

Imeandaliwa na Albano Midelo

Afisa Habari Mkoa wa Ruvuma

Aprili 24,2020

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.