• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma aipongeza Halmashauri ya Mbinga kwa kupata hati safi

Imewekwa kuanzia tarehe: June 3rd, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme amempongeza Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mbinga ,Mbunge,Madiwani, pamoja na wataalamu wa Halmashauri  kwa kupata hati safi kwa miaka miwili mfululizo.

Ametoa pongezi hizo wakati anafungua kikao maalum cha Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Mbinga cha kujadili hoja na mapendekezo ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha 2018/2019.

‘’Napenda niwakumbushe kuwa kupata Hati safi kwa miaka miwili mfuulizo kwa kipindi cha 2017/2018 na 2018/2019 siyo jambo dogo ni jambo kubwa sana 2016/2017 mlituletea fedhea kwa kupata hati yenye shaka ambayo haikuzoeleka hapo awali lakini mmehakikisha Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga mnairejesha katika viwango vyake vya kupata hati safi hongereni sana’’ alisema mndeme.

Aidha Mndeme alitoa maagizo kuzuia kuwepo kwa hoja za aina moja ,Watendaji wa Halmashauri waendelee kutoa ushirikiano  wa kutosha kwa wakaguzi na Wakuu wa idara washiriki ipasavyo katika kuandaa majibu ya hoja na utekelezaji wa mapendekezo ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu.

Hata hivyo Mndeme aliagiza  taarifa za hesabu za mwisho wa Mwaka (Annual Financial Statements), kuandaliwa kwa kuzingatia matakwa ya viwango vya kihasibu vya kimataifa katika sekta ya umma(IPSAS). Na kudhibiti upotevu wa mapato katika Halmashauri na vyanzo vya upotevu vithibitiwe  kwa kuchukua hatua stahiki.

Mndeme ametoa maagizo kwa Katibu Tawala wa Mkoa kusimamia Fedha na ufuatiliaji wa utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo  katika Halmashaur na ,Kushughuikia  maeneo yenye matatizo sugu ya matumizi mabaya ya fedha za serikali yaliyoainishwa katika taarifa ya Mdhibiti  na Mkaguzi Mkuu wa Serikali.

IMEANDIKWA NA ANET NDONDE

OFISI YA HABARI YA MKUU WA MKOA WA RUVUMA

JUNI 2,2020

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.