• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma akemea wanaoharibu miundombinu ya maji

Imewekwa kuanzia tarehe: June 28th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme amelaani vikali  kitendo cha baadhi ya wananchi wa Matemanga wilaya ya  Tunduru  kuharibu Miundombinu  ya Maji ambayo serikali imetumia mabilioni ya fedha kutekeleza mkiradi hiyo.

Mndeme akiwa katika ziara ya kukagua miradi ya maji katika kijiji cha Matemanga wilaya ya Tunduru alikuta  mabomba yameharibiwa na maji kumwagika hovyo huku wananchi wakishindwa kujitolea kufanya matengenezo ya kununua koki.

  Mndeme amemwagiza  Mwenyekiti wa Kijiji hicho  kurekebisha mabomba hayo kwa muda wa siku moja,ambapo ameliagiza  Jeshi la Polisi kuwakamata wanahusika katika uharibifu wa mabomba hayo.

,,kanga mnanunua kwa shilingi ngapi?au dela mnanunua kwa shilingi ngapi kwa nini mmeshindwa kurekebisha mpaka Mkuu wa Mkoa aje? Rais Alifika hapa mkamuomba akawajengea mradi wa maji halafu mnaharibu maji kwa nini?koki imeharibika  meshindwa kurekebisha?.

Hata hivyo Mkuu wa Mkoa amesema wanaotakiwa kulinda miundombinu hiyo ni  jumuiya ya wananchi wanaotumia maji ni  kwa sababu tanki linajaza maji lita laki moja na serikali inatumia gharama nyingi kujaza maji.

 Naye Meneja wa RUWASA Tunduru Mhandisi Primmy Damas amesema Mradi wa Maji Milonde unahusisha upanuzi wa Mradi wa Maji wa Matemanga,mradi huo umegharamiwa na Serikali kuu kupitia Wizara ya Maji na kutekelezwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira (RUWASA)Tunduru kwa kushirikiana na uongozi wa Kijiji na Kata pamoja na wananchi walioweza kuchangia nguvu kazi kwa zaidi ya milioni 215.

Damasi ameitaja Miundombinu ya Mradi huu kuwa  inajumuisha vijiji vinne  ambavyo vinanufaika na Maji hayo,Matemanga,Milonde,Changalawe,na jaribuni Jumuiya ya watumia maji iliyoundwa na kusajiliwa kwa Mujibu wa sheria Mpya ya Maji namba 5 ya mwaka 2019.

Mradi huu wa Maji Wilaya ya Tunduru ambao umetengewa zaidi ya shilingi  215 hadi sasa milioni 44.5 zimetumika mpaka sasa mradi, utakapokamilika utahudumia jumla ya wakazi 3,600.

Mwandishi ni  Aneth Ndonde

Kutoka Ofisi ya Habari MKoa wa Ruvuma

26/Juni/2020

 

 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.