• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma ataja mafanikio ya mwaka mmoja wa Rais Samia

Imewekwa kuanzia tarehe: March 30th, 2022

SERIKALI imetoa shilingi billioni 323.4 kukamilisha ujenzi wa barabara ya Namtumbo hadi Tunduru Mangaka yenye urefu wa kilomita 324.6 kwa kiwango cha lami.

Hayo yamesemwa  leo na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Generali Wilbert Ibuge wakati  anataja mafanikio ya mwaka mmoja wa serikali ya Awamu ya Sita mbele ya waandishi wa habari ofisini kwake  Mjini Songea.

Amesema Serikali imetoa pesa kiasi cha Bilioni 129.3 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa barabara ya Mbinga hadi Mbambabay yenye urefu wa kilomita 66 kwa kiwango cha lami.

‘’Niwajulishe pia wananchi wa Mkoa wa Ruvuma Mkoa umepokea jumla ya shilingi Bilioni 14,164,104,629.07 kutoka mfuko wa barabara na Tozo kwa ajili ya ujenzi wa barabara za lami mjini, madaraja 28, makalvati 161, matengenezo ya kawaida km 361.52, muda maalumu km 172.11 na maeneo korofi km 108.4’’, amesema RC Ibuge.

RC Ibuge amesema kukamilika kwa ujenzi wa daraja la mto  Ruhuhu lenye urefu wa mita 98.01 limegharimu shilingi Bilioni 6.172  ambalo linaungani Mkoa wa Ruvuma na maeneo yake yote yaweze kufikiwa kwa urahisi.

Hata hivyo amesema kiasi cha fedha Bilioni 37.09 zimetumika kwa ajili ya ujenzi na upanuzi wa kiwanja cha Ndege Songea mjini.

Amesema kiasi cha shilingi Bilioni 6.57 zimetumika kukamilisha ujenzi wa stendi ya kisasa ya mabasi katika Manispaa ya Songea.

Akizungumza katika kikao  hicho RC Ibuge ameongeza kuwa ujenzi wa bandari  mpya ya Ndumbi katika wilaya ya Nyasa unaendelea kwa gharama ya shilingi Bilioni 12.28.

Tutaendelea kuwaletea mafanikio ya mwaka mmoja wa  serikali  ya awamu ya sita  katika Mkoa wa Ruvuma yaliyotajwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma  katika habari zinazofuatia kupitia tovuti yetu.

Imeandaliwa na Bahati Nyoni 

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma 

Machi 30 2022.

  

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.