• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma awafariji yatima 74 Songea

Imewekwa kuanzia tarehe: April 1st, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abass Ahmed ametoa msaada wa vitu mbalimbali vyenye thamani ya Zaidi ya shilingi laki nane na fedha taslimu shilingi 690,000 kwa kituo cha Watoto yatima Chipole wilayani Songea.

Kituo hicho chenye Watoto yatima 74 kinamilikiwa na watawa wa Shirika la Mtakatifu Agnes Jimbo Kuu katoliki la Songea.

Akizungumza baada ya kukabidhi msaada huo,Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Abbas amevitaja vitu walivyopewa Watoto hao kuwa ni   mchele kilo 100,maharage kilo 50,mafuta ya kupikia lita 20,sukari kilo 50,unga wa mahindi kilo 50 na sabuni ya unga mifuko miwili.

“Mimi binafsi  nimekuwa na utamaduni katika maisha yangu,nikipata fursa huwa natembelea vituo vya kulelea Watoto yatima, kwa lengo la kuwashika mkono na kuwafariji huwa nafarijika ninapofanya jambo hili ’’,alisema RC Abbas.

Amewapongeza watawa hao kwa upendo mkubwa walionao kwa kuchukua jukumu la kuwahudumia Watoto yatima ambapo amesema jukumu hilo ni la kimungu Zaidi.

Naye Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma Rehema Madenge  amewapongeza watawa hao kwa kwa kuwalea Watoto yatima 74  ambao amesema wanalelewa katika mikono salama kutokana na kituo hicho kuwa kimbilio la Watoto wengi.

Amesema kituo hicho kinaisaidia serikali kulea Watoto yatima na kwamba hakuna malipo yanayostahili kwa kazi hiyo Zaidi ya kuwaombea thawabu kwa mwenyezi Mungu.

Afisa  Ustawi Mkoa wa Ruvuma  Vikta Nyenza  akitoa taarifa ya vituo vya kulelea yatima amesema katika Mkoa mzima kuna Watoto yatima  279 kati yao watoto 74 wanalelewa katika kituo cha Chipole.

Jumuiya ya watawa wa Chipole imemshukuru Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma kwa msaada wa vitu na fedha na kuwafariji na kuwatia moyo wa kuendelea kuwa na huruma na upendo wa kuwahudumia Watoto yatima.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.