• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma awaonya watumishi wa umma

Imewekwa kuanzia tarehe: November 25th, 2022

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amewaonya watumishi wa umma kutokuwa sehemu ya kuhujumu miradi ya maendeleo.

Akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea katika mji Mdogo wa Peramiho RC Thomas amesema serikali haitasita kuchukua hatua kwa mtumishi yeyote anayekwenda kinyume na Utumishi wa Umma.

Hata hivyo Mkuu wa Mkoa amemuagiza Afisa Utumishi katika Halmashauri hiyo kusimamia haki za watumishi ikiwemo kupandishwa vyeo kwa wakati.

Amesisitiza kujenga na kuimarisha mahusiano katika sehemu za kazi na kufanya kazi kwa kushirikiana baina ya wakuu wa Idara na watumishi wa chini.  

“Watumishi jiepusheni na mikopo yenye riba kubwa,watumishi msiishi maisha fake yanasababisha kuingia kwenye madeni makubwa jambo ambalo ni hatari kwa mtumishi“,alisisitiza.

Katika hatua nyingine Kanali Thomas ameuagiza uongozi wa Halmashauri ya Songea kuanzisha mashamba ya pamoja (Block farming) na kusisitiza kuwa serikali inaendelea kuboresha Mfumo wa usambazaji mbolea ya ruzuku ili kuisogeza jirani na wakulima.

Mkuu wa Mkoa amepiga marufuku uingizaji Mifugo mkoani Ruvuma na kwamba zoezi la kuondoa Mifugo katika maeneo yasiyostahili linaendelea katika Mkoa mzima.

Mkuu wa Mkoa pia ameagiza kuongeza ukusanyaji mapato kwa kusimamia ipasavyo ukusanyaji kwa kutumia mashine za kukusanyia (POS)na kubuni vyanzo vipya vya mapato.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Neema Maghembe ameahidi kutekeleza maagizo yote yaliyotolewa na Mkuu wa Mkoa.

Hata hivyo Maghembe amesema ukusanyaji mapato katika Halmashauri hiyo unaridhisha ambapo katika mwaka wa fedha 2021/2022 Halmashauri hiyo ilikusanya shilingi bilioni 1.7 sawa asilimia 115.

Halmashauri ya Wilaya ya Songea ni miongoni mwa Halmashauri tatu zinazounda Wilaya ya Songea iliyoanzishwa mwaka 1984.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.