• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKUU wa Wilaya azindua gari jipya la CWT Namtumbo

Imewekwa kuanzia tarehe: March 29th, 2025

 Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo, mkoani Ruvuma Mheshimiwa Ngolo Malenya, amezindua gari jipya la Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wilayani humo.

Hatua  hiyo nayolenga kurahisisha utekelezaji wa majukumu ya chama na kuboresha huduma kwa wanachama wake.  

Uzinduzi huo umefanyika katika hafla maalum ambapo Malenya aliipongeza CWT kwa juhudi zake za kuhakikisha walimu wanapata usafiri wa uhakika. 

Amehimiza viongozi wa chama hicho kutunza gari hilo ili lidumu kwa muda mrefu na kusaidia katika utekelezaji wa shughuli za walimu na jamii kwa ujumla.  

Malenya pia amewataka waajiri kuhakikisha madereva wanaoajiriwa wana sifa stahiki na wanazingatia sheria za barabarani ili kuepusha ajali zisizotarajiwa. 

Kwa upande wake, Katibu wa CWT Wilaya ya Namtumbo, Deograsias Haule, amesema gari hilo limegharimu shilingi milioni 77, ikijumuisha gharama za ununuzi, marekebisho, na bima. 

Ameeleza kuwa awali walikabiliwa na changamoto ya usafiri, hasa wanapohitaji msaada wa dharura, lakini sasa changamoto hizo zitapungua.  

Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya CWT Taifa anayewakilisha Mkoa wa Ruvuma, Sabina Lipukila, amesema chama kimejikita katika kutatua changamoto za usafiri kwa walimu. 

Wilaya nne kati ya tano za mkoa huo tayari zimenunua mabasi, huku nyingine zikiendelea na mchakato wa ununuzi ili kuhakikisha walimu wanapata usafiri wa uhakika kwa shughuli zao.




Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.