• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MRADI Mkubwa wa maji Mbinga umewekwa Jiwe la Msingi na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru

Imewekwa kuanzia tarehe: September 4th, 2021

KIONGOZI wa Mbio maalumu za Mwenge wa Uhuru Lt Josephine Mwambashi  ameweka jiwe la Msingi katika ujenzi wa Hospitali ya Halmashauri ya Mbinga Vijijini na Mradi wa Maji  wa maboresho ya Huduma ya Maji Mbinga Mjini.

Akitoa taarifa hiyo kabla ya kuweka Jiwe la msingi Dr. Louis Chomboko  amesema Serikali imeleta kiasi cha shiringi milioni miatano kwaajili ya ujenzi wa majengo matatu ya awali likiwemo jengo la wagonjwa wan je(OPD)jengo la maabara na kichomeo Taka.

Dr. Chomboko ameelezea lengo la ujenzi wa Hospitali hiyo  ni kuboresha  huduma za afya ya jamii ikiwemo wakazi 300,000 kutoka Kata za Halmashauri hiyo pamoja na maeneo ya Karibu kama Songea, Shughuli za ujenzi zilianza Juni 1,2021 na kutarajia kukamilika Septemba 30,2021 .M

“Hadi kufikia hatua hii  kiasi cha zaidi ya shilingi  milioni miatatu zimetumika  na Fedha ya serikali imetumika kiasi cha zaidi ya shilingi milioni miambili themanini kwaajili ya ununuzi wa vifaa mbalimbali vya ujenzi”.

Kwa upande wake Meneja ufundi  mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Songea  Jafari Yahaya amesema walipokea maelekezo kutoka Wizara ya Maji ya utekelezaji wa mradi wa maboresho ya huduma ya maji  Mbinga Mjini .

Yahaya ameelezea lengo la mradi huo ni kusogeza Huduma ya maji karibu na  wananchi na kuwapunguzia umbali mrefu wa kutafuta maji ili waweze kushiriki katika shughuli za maendeleo  na kutekeleza kauli mbiu  ya “kumtua mama ndoo kichwani”.

Amesema Mradi huo umegharimu kiasi cha zaidi ya  shilingi  bilioni moja ambapo Wizara ya Fedha imetoa zaidi ya shilingi milioni miatano ili kutekeleza mradi huo , na kufikia asilimia 75 hadi sasa na kuhudumia wakazi wa Mbinga wapatao 12,000.

Kiongozi wa mbio za Mwenge Lt Mwambasi  kabla ya kuweka jiwe la msingi alibaini wananchi hawakushirikishwa juu ya ujenzi  wa mradi huo  hivyo ameagiza uongozi wa Wilaya kutoa taarifa kwa wananchi kupitia vikao vya kisheria.

https://www.youtube.com/watch?v=Ca16mT-cX2s


Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka ofisi ya Habari Mkoa wa Ruvuma

Septemba 4,2021


Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.