• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

NAIBU Waziri wa Nishati azindua kituo cha mauzo ya makaa ya mawe Mbinga

Imewekwa kuanzia tarehe: August 20th, 2024

Naibu Waziri wa Nishati Mheshimiwa Judith Kapinga amezindua kituo cha mauzo ya makaa ya mawe kinachomilikiwa na Kampuni ya Marketing Insight Limited MilCoal kilichopo katika Kijiji cha Paradiso Kata ya Ruanda Wilayani Mbinga Mkoani Ruvuma.

Mhe,Kapinga amesema kuwa Sera ya Nishati na Sera ya Madini zinatambua michango ya Kampuni kwenye maeneo mbalimbali Nchini ili kuhakikisha  Wananchi wanaozunguka Kampuni hizo wananufaika nazo.

Katika hatua nyingine Mheshimiwa Judith Kapinga amesema kuwa uwekezaji uliofanywa na Kampuni ya MILCOAL unasaidia ongezeko la ukuaji wa uchumi pamoja na fursa za ajira nchini.

Hata hivyo amesema kutokana na hitaji la umeme katika mgodi wa MILCOAL  Naibu Waziri wa Nishati amesema TANESCO wanatarajia kufikisha umeme hivi karibuni kwa gharama ya shilingi milioni 280.

Naye Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Mheshimiwa  Peresi Magiri  , akitoa salamu za Mkoa, ameipongeza Kampuni ya MILCOAL pamoja na kampuni mbalimbali zilizopo katika maeneo hayo,pia amewakaribisha  wawekezaji wa ndani na nje kuwekeza katika Mkoa wa Ruvuma.

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Ruanda Dougras Mwingira amewapongeza wamiliki wa mgodi huo akisema kuwa kuwepo kwa mradi huo kumeleta fursa kwa  Wananchi wa Kijiji hicho kwa kukuza fursa ya uchumi kwa wakazi wa kata hiyo.

Mussa Haji ni Mwakilishi wa Kampuni ya MILCOAL amesema kampuni hiyo imefanikiwa kufanya mauzo ya tani laki 330,000 huku wakichangia kiasi kikubwa katika utoaji wa ajira kwa wakazi wa maeneo jirani na Mgodi huo.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.