• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

NAMBA uliopiga kuvunja amani haipatikani -Wazira atoa onyo kali Nyasa

Imewekwa kuanzia tarehe: June 12th, 2025


Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira , ametoa wito mzito kwa wananchi wa Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma kulinda amani ya Taifa, akisisitiza kuwa Watanzania wasikubali kugawanywa kwa misingi ya dini, kabila au itikadi. “Akitokea mtu anayetaka kuvunja amani, tumwambie namba aliyopiga haipatikani,” alisema kwa msisitizo mkubwa.


Wasira mesema Tanzania ina historia ya kipekee barani Afrika kwa kuhimiza mshikamano wa kitaifa, akitaja mafanikio makubwa ya CCM katika kuondoa ubaguzi wa aina yoyote na kuimarisha umoja miongoni mwa Watanzania. 

Ameeleza kuwa mshikamano wa kitaifa ni zawadi ya pekee kutoka kwa Mungu ambayo haipaswi kupuuzwa wala kuvurugwa.

Katika mkutano huo, Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahmed Abbas Ahmed, alitumia nafasi hiyo kumshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuimarisha miundombinu muhimu, ikiwemo ujenzi wa barabara na bandari katika Wilaya ya Nyasa. 

Alibainisha kuwa mkandarasi wa barabara ya Mbamba Bay – Ndumbi na Litui – Kitai tayari yupo kazini.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Ruvuma, Komred Oddo Mwisho, alieleza kuwa Serikali imetoa Sh bilioni 22   ajili ya ujenzi wa daraja la Mto Mitomoni , litakalounganisha Wilaya ya Nyasa na Songea Vijijini, jambo litakalorahisisha usafiri na kukuza maendeleo ya kiuchumi.

Tayari serikali I melisanifu daraja la mitomoni na Mkandarasi ameshapatikana


Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UJENZI wa barabara ya kihistoria Tanzania na Msumbiji kuunganishwa kwa lamii kupitia Songea

    June 21, 2025
  • MADABA yafunguka ,uwekezaji wa bilioni 20 waleta mapinduzi katika afya na elimu

    June 21, 2025
  • HALMASHAURI Ruvuma zaagizwa kutekeleza HOJA za CAG

    June 20, 2025
  • SHULE hii haipo Ruvuma,serikali yaonya wanaosambaza uzushi

    June 19, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.