• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

NAMTUMBO kuadhimisha siku ya wanawake Duniani kwa kuchangia damu

Imewekwa kuanzia tarehe: March 5th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo Mheshimiwa Ngollo Malenya amesema wilaya hiyo inafanya maadhimisho ya siku ya wanawake kiwilaya kwa  siku mbili kuanzia Machi 5 hadi 6,2024 ili kutoa fursa kwa wanawake kushiriki shughuli za maendeleo.

Amesema katika siku hizo wanawake watashiriki kufanya usafi wa mazingira,kupanda miti,uchangiaji damu,utoaji wa elimu ya afya na upimaji wa saratani ya shingo ya kizazi.

Ngollo ameitaja shughuli nyingine itakayofanyika katika maadhimisho hayo ni kutoa taulo za kike kwa  kwa baadhi ya wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wilayani humo.

 “Katika maadhimisho haya tumepanga kuwatembelea Watoto wenye mahitaji maalum katika kituo cha  shule ya msingi Nambehena ambako tutawagawia  Watoto hao sare za shule na sabauni’’,alisisitiza Mkuu wa Wilaya.

Ametoa rai kwa wadau wote wa maendeleo kuungana na wanawake wa Wilaya ya Namtumbo katika siku mbili hizo za kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani Machi 8,2024.

Maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani katika Mkoa wa Ruvuma,kimkoa yanatarajia kufanyika wilayani Mbinga siku ya Machi 8,2024.

Kaulimbiu ya mwaka huu ni “Wekeza kwa wanawake,kurahakisha maendeleo ya Taifa na Ustawi wa Jamii”.

Kaulimbiu hii inalenga kuhamasisha jamii kuwekeza kwa wanawake ili kuleta usawa wa kijinsia Pamoja na kukumbushana umuhimu wa usawa wa kijinsia katika kuchochea ukuaji wa Uchumi,maendeleo jumuishi na ustawi wa jamii kwa maendeleo endelevu kwa wanawake

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.