• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RAIS SAMIA alivyowaapisha wakuu wa Mikoa na wakuu wa Taasisi serikalini

Imewekwa kuanzia tarehe: May 19th, 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan amewaapisha wakuu wa Wakuu wa Mikoa na wakuu wa Taasisi ili kuanzia kazi rasmi ya kuwatumikia watanzania.walioapishwa Ikulu jijini Dar es salaam ni :-1. Mhe. Amos Gabriel Makalla, kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam2.Mhe. Omary Tebweta Mgumba,kuwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe3.Mhe.Stephen Nzohabonayo Kagaigai,kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro 4.Mhe. Brig. Jen Wilbert Augustine Ibuge, kuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma5.Mhe.Charles Makongoro Nyerere,kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara 6.Mhe.Brig. Jen Charles Mang’era Mbuge,kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera7.Mhe. David Zacharia Kafulila, Kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha8.Mhe. Rosemary Staki Senyamule,kuwa Mkuu wa Mkoa wa Geita9.Mhe.Mwanamvua Hoza Mrindoko,Kuwa Mkuu wa Mkoa wa Katavi 10.Mhe.Queen Cuthbert Sendiga, kuwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa

Rais Samia pia amewaapisha B) Katibu Mkuu na Watendaji Wakuu wa Taasisi1.Ndg. Nenelwa Joyce Mwihambi, kuwa Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania2.Ndg.Joseph Edward Sokoine, kuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki3.Ndg.Salum Rashid Hamduni, kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa4.Ndg. Sylvester Anthony Mwakitalu, kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka 5.Ndg.Joseph Sebastian Pande, kuwa Naibu Mkurugenzi Mashitaka6.Ndg.Neema Mpembe Mwakalyelye, kuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa [19-May-2021]#KaziIendelee 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.