• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RAIS SAMIA atoa bilioni 11 kwa Halmashauri ya Mji wa Mbinga

Imewekwa kuanzia tarehe: January 18th, 2024

Halmashauri ya Mji wa Mbinga mkoani Ruvuma imepokea jumla ya Shilingi bilioni 11.974 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo.

Akizungumza kwenye kikao cha wakurugenzi wa Halmashauri zote nane za Mkoa wa Ruvuma kilichofanyika mjini Mbinga,Mkurugenzi Mtendaji wa Mji wa Mbinga Bi.Amina Seif alisema  fedha zimetumika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo  kwenye sekta za elimu, afya, maendeleo ya jamii, kilimo, utawala, biashara na mifugo.

“Tuna kila sababu ya kuishukuru serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutupatia fedha kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo,” alisema Bi. Amina.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi huyo Halmashauri hiyo katika mwaka wa fedha 2021/2022 ilipokea jumla ya shilingi bilioni 5.6, mwaka 2022/2023 ilipokea bilioni 5.4 na mwaka 2023/2024 Halmashauri hiyo imepokea shilingi Milioni 974.6.

Amebainisha zaidi kuwa katika sekta ya elimu pekee,kwa kipindi cha miaka mitatu Halmashauri hiyo imepokea shilingi bilioni 7.8 kwa ajili utekelezaji wa miradi mbalimbali ya elimu.

Ameitaja baadhi ya miradi iliyotekelezwa katika sekta ya elimu  kuwa ni  ujenzi wa vyumba vya madarasa 182 , Ujenzi wa shule mpya nne ambazo amezitaja kuwa ni sekondari ya Lusonga, shule ya msingi Kipika, shule msingi Mpepai na shule ya sekondari Matarawe.

Kulingana na Mkurugenzi huyo katika sekta ya Afya kwa kipindi cha miaka mitatu Halmashauri imepokea shilingi bilioni 2 kwa ajili utekelezaji wa miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa vituo viwili vya afya vya Mbangamao na Myangayanga  na ujenzi wa zahanati tisa.

Amebainisha zaidi kuwa katika kipindi hicho kwenye sekta ya Maendeleo ya Jamii,  Halmashauri imepokea shilingi bilioni 2.64 kwa ajili utekelezaji wa miradi mbalimbali ya uhawilishaji fedha katika kaya maskini na uwezeshaji wananchi kiuchumi.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.