• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RC Ibuge wataalamu kutunza Hifadhi za Wanyamapori Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: September 13th, 2021

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Brigdia Generali Wilbert Ibuge  amefungua  Mkutano wa jukwaa la Jumuiya za Hifadhi za Wanyamapori kusini mwa Tanzania zinazohusu fursa za uchumi.

Akizungumza katika ufunguzi wa Kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa Veta Manispaa ya Songea amsema Wataalamu Mkoa ,Wilaya na Mashirika yasiyo ya  Kiserikali yapo kwaajili ya kuisaidia Serikali ya Mkoa wa Ruvuma kulinda na kuimarisha rasilimali kwa Manufaa ya Taifa.

“Utalii ni moja ya sekta zinazoongeza pesa nyingi za kigeni Nchini Tanzani,Utalii pekee huleta wageni takribani milioni 1.5 kwa mwaka,watali kuja Tanzania ili kufurahia wanyapori na kuchangia pato la Taifa asilimia 17 pamoja na  kutoa ajira milioni 1.5”.

Hata hivyo Ibuge amesema ushoroba unakabiliwa na changamoto za uharibifu wa mazingira kama uchomaji wa moto,uvamizi wa maeneo ya hifadhi,ujagili na uvunaji haramu wa miti,pia Tanzania ilikuwa na robo ya Tembo wote barani Afrika na idadi kubwa ikiwa ni pori la akiba la Selous na idadi imepungua kufikia makadirio ya mwaka 2014 ni 15,000  hiyo inatokana na ujangili.

Kwa upand wake Mwnyekiti wa Muungano wa Jumuiya za Uhifadhi wa Wanyamapori Tanzania (CWMAC) Chrisopher  Mademla ameishukuru Wizara ya Maliasili  na Utalii kwa kuendelea kusaidia Muungano Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori Tanzania katika kutekeleza Majukumu yake nchini.

“Nishukuru uongozi wa WWF Tanzania kwa kundela kufadhili miradi mbalimbali ya uhifadhi ukiwemo mradi huu wa kuongoza mabadiliko (SIDA Leading th Change) ambao ndio umeuwezesha kufanya mkutano huu muhimu”.

Mademla amewahakikishia kuwa Muungano utandelea kushirikiana kikamilifu na wadau wote wa uhifadhi wa Maliasili  nchini hususani Serikali ili kuhakikisha rasilimali za nchi ya Tanzania zinalindwa kikamilifu kwa kuhakikisha kuwa tunapiga vita matumizi yote yasiyokuwa endelevu ikiwemo rasilimali za Wanyamapori.

Hata hivyo amesema kuwa Muungano unatambua na kuthamini mchango mkubwa wa jitihada zinazofanywa na Serikali katika kuhimiza juu ya uhifadhi endelevu wa rasilimali za Wanyamapori katika Mkoa wa Ruvuma licha ya kuwepo kwa changamoto mbalimbalia mbazo zimekuwa zikikwamisha jitihada za uhifadhi wa Wanyamapori kutokana na wawekezaji.

Mademla ameelezea mafanikio ya Muungano huo kuwa kiunganishi muhimu katika Serikali na Jumuiya na kuyapatia ufumbuzi mambo mbalimbali yanayohusu uendeshaji wa WMAs nchini,imesaidia Jumuiya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kiuhifadhi  kwa lengo la kuziwezesha kutekeleza majukumu.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Ruvuma

Septemba 13,2021

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • BODI ya kwanza ya maji yazinduliwa Tunduru

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.