• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RC RUVUMA akerwa na kuchelewa kukamilika miradi ya mahakama na VETA Tunduru

Imewekwa kuanzia tarehe: October 23rd, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed amekerwa na kuchelewa kukamilika kwa miradi ya ujenzi wa Mahakama ya Wilaya na Chuo cha VETA Wilayani Tunduru ambapo ameagiza kasi iongezwe ili miradi hiyo ikamilike na kuanza kutumika.

Kanali Abbas ametoa maagizo hayo akiwa katika ziara ya kikazi wilayani Tunduru ambapo amewaagiza wasimamizi wa miradi hiyo kuonesha mpango kazi unaotekelezeka ikiwemo upatikanaji wa rasilimali fedha  za mradi kwa wakati,kuongeza nguvu kazi na kuhakikisha kazi inafanyika usiku na mchana.

“Kila jengo linajengwa kwa malengo ikiwemo kutoa huduma kwa wananchi hivyo iwapo  majengo hayakamiliki maana yake watu hawahudumiwi,serikali imeamua kuwekeza na kujenga mahakama ya wilaya na Chuo cha VETA kuna mahali imeona huduma hizi zinasuasua’’,alisema.

Ameongeza kuwa serikali imeamua kuongeza majengo hayo kwa lengo la kuongeza huduma kwa wananchi hivyo amesema kuchelewa kukamilisha miradi hiyo ni kuirudisha nyuma serikali na mwisho wa siku lawama zinakwenda kwa Rais ambaye ameshamaliza kazi yake ya kutoa fedha za kutekeleza miradi hiyo ili ianze kutoa huduma.

Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan hadi sasa imetenga shilingi bilioni 1.5 za kutekeleza mradi wa ujenzi wa Mahakama ya Wilaya ya Tunduru ambao unatarajia kukamilika Machi 2025.

Serikali pia imetoa Zaidi ya shilingi milioni 340 kuanza kutekeleza mradi wa chuo cha Ufundi Stadi VETA wilayani Tunduru kwa kujenga majengo tisa  ambapo hadi sasa mradi umefikia Zaidi ya asilimia 60.

Mradi wa ujenzi wa mahakama ya Wilaya ya Tunduru ambapo serikali imetoa shilingi bilioni 1.5 kutekeleza mradi huo

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.