• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RC Ruvuma ashauri vijana kutumia mabonanza kukuza michezo

Imewekwa kuanzia tarehe: October 23rd, 2024

MKUU wa mkoa wa Ruvuma Kanali  Ahmed Abbas Ahmed ,amewataka wakazi wa mkoa huo hususani vijana kutumia mabonanza mbalimbali ya michezo kuhamasishana na kuelimishana juu ya  umuhimu wa kwenda kujiandikisha kwenye Daftari la orodha la wapiga kura.

Amesema,kujiandikisha kwenye Daftari hilo kutawawezesha kuwa na sifa ya  kupiga kura na kuchagua viongozi bora wanaowataka kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa unaotarajia kufanyika tarehe 27 Novemba mwaka huu.

Kanali Abbas amesema hayo ,wakati akifunga fainali ya mashindano ya Ruvuma vijana (vijana Ruvuma Cup 2024) kati ya Timu ya Bombambili City na Bombambili United  iliyochezwa katika uwanja wa shule ya msingi Sokoine Manispaa ya Songea.

Amesema,vijana wa mkoa wa Ruvuma wanapaswa kutumia mchezo huo kama hamasa ya kuendeleza michezo mingine hasa ikizingatiwa kuwa hivi sasa michezo imesaidia watu wengi kupata ajira.

Amempongeza mwenyekiti wa umoja wa vijana wa Chama cha Mapinduzi Kelvin Challe, kwa ubunifu wake mkubwa wa kuanzisha mashindano hayo yaliyowakutanisha vijana wengi kutoka maeneo mbalimbali ya mkoa wa Ruvuma.






Abbas,amewashukuru wadau waliosaidia kufanikisha  mashindano ya vijana akiwemo Mbunge wa Vijana na Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga aliyetoa jezi kwa timu zote zilizoshiriki Ligi hiyo.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Ruvuma Kelvin Challe,amewashukuru wananchi waliopata nafasi ya kushiriki Ligi hiyo kuanzia hatua ya awali hadi fainali.






Alisema,jambo la kujivunia mashindano ya mwaka huu yamekuwa yenye  hamasa na mwitikio mkubwa  kwani imeshirikisha jumla ya timu 32  ikilinganisha na msimu uliopita  hasa baada ya kuongezeka kwa zawadi kwa washindi na timu  zote shiriki.




Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.