• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RC Ruvuma atoa rai kwa Jumuiya za watumia maji kuzingatia Sheria

Imewekwa kuanzia tarehe: September 26th, 2022

JUMUIYA  za watumia maji Bonde dogo la Mto Lutukila na Ruhuhu (JUWALURU) katika Halmashauri  ya Madaba na Jumuiya ya watumia Maji Bonde dogo la Mtu Lumecha na Hanga (JUWALUHA) limezinduliwa rasmi na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas.

Akizungumza katika hafla ya uzinduzi huo ametoa rai kwa wanajumuisha kufanya kazi kwa kutenda haki na kuzingatia sheria zilizowekwa  na kazuni zote.

“Sheria na kanuni zote mmezitunga wenyewe kwahiyo naomba mzingatie na kuwajibika”.

Mkuu wa Mkoa amesema wanajumuiya hizo kuhakikisha wanasimamia na kudhibiti shughuli mbalimbali ambazo zinachangia uharibifu wa vyanzo vya maji ikiwemo ulimaji wa vinyungu,ukataji miti,uchimbaji wa madini,ufugaji wa samaki na vingine vingi.

Akisoma taarifa kwa niaba ya Mkurugenzi wa Bonde la Ziwa Nyasa Samwel Yotham amesema mbali na kuandaa Jumuiya ya JUWALUHU  na JUWALUHA  Bodi ya maji ya Bonde la Ziwa Nyasa katika kutekeleza majukumu ya kuhifadhi,kutunza  na kulinda Rasilimali za maji ili kujihakikisha upatikanaji wa maji katika Mkoa wa Ruvuma.

Yotham amesema zimeundwa Jumuiya za Watumiaji Nne Bonde dogo la Mto Mbawa na Lwika (JUWABOHA),Jumuiya ya watumia maji mto Luwaita (JUWAMALU) na Mto Mungaka (JUWAMU) Wilaya ya Mbinga,Jumuiya ya Watumia Maji Mto Luhira na (JUWALU) Wilaya ya Songea.

Amesema vimejengwa vituo 14 vya kufuatilia mwenendo wa Maji (vituo 2 vya Halali ya Hewa eneo la Shule ya Msingi ya Madaba na Shule ya Msingi Mbambabay na eneo la Shule ya Msingi Paradiso Mbinga pamoja na Nyasa Ruhuhu Masigira kijiji cha Mahanje Madaba.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Septemba 26,2022.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.