• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RC Ruvuma atoa rai kwa watendaji kuchukua hatua ya kupunguza hali duni ya Lishe

Imewekwa kuanzia tarehe: October 11th, 2022

MKOA wa Ruvuma umeshika nafasi ya nne katika utekelezaji  wa Mkataba  wa Lishe kupitia tathmini sita katika tathmini tatu za mwisho.

Hayo amesema Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas katika usainishaji wa Mkataba wa usimamiaji wa shuguli za Lishe.

“Mkoa ulishika nafasi ya nane Mwaka 2019/2020 nafasi ya pili Mwaka 2020/2021 na nafasi ya nne Mwaka 2021/2022”.

Amesema Mkoa unatakiwa kufanya Tathimini ya utekelezaji wa Mkataba wa Lishe mara mbili kwa Mwaka kila baada ya miezi sita na awamu ya mwisho ya Tathimini ilifanyika mwezi Agosti 2022 ikiwa Halmashauri zinatakiwa kufanya Tathmini kila robo Mwaka.

Thomas ametoa rai kwa watendaji wote kuwa Mkataba utasaidia kubaini changamoto zilizopo katika maeneo yote na kuchukua hatua mathubuti za kupunguza hali duni ya Lishe hususani udumavu wa watoto wenye umri chini ya miaka mitano.

“Tutasimamia vizuri kwa weledi utekelezaji wa Mkataba huu ili tuweze kuunga mkono juhudi za Serikali ya awamu ya sita ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania “.

Hata hivyo amesema Ofisi  ya Rais TAISEMI kwa kushirikiana na Mkoa ilifanya uhakiki wa Taarifa za Lishe hususani matumizi ya fedha ripoti inaonyesha kutofautiana kwa taarifa zilizowasilishwa na Halmashauri.

“Niwaelekeze kuhakikisha fedha zilizopangwa kutekeleza shughuli za lishe zinatolewa kupitia vifungu sahihi na zitekelezwe shughuli pangwa”.

Amesema Mabalozi wa Lishe  wateuliwe katika maeneo yote kuanzia ngazi ya Halmashauri hadi kata kwa lengo la kuongeza hamasa kwa wananchi wote  kujua umuhimu wa Lishe pia Mkoa umemteua Mhe. Mhandisi Stella Manyanya Mbunge wa Nyasa  kuwa balozi wa Lishe Mkoa akishirikiana na Jackline Msongozi.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Octoba 11,2022.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.