• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RUVUMA TOYOTA FESTIVAL kufanyika Juni 2025

Imewekwa kuanzia tarehe: December 8th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Nyasa, Mheshimiwa Peres Magiri, amebainisha kuwa mwitikio wa wananchi wa Mkoa wa Ruvuma na maeneo mengine ya nchi bado ni mdogo katika kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo mkoani Ruvuma.

Amebainisha hayo wakati akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed katika hafla ya Toyota Networking Cocktail iliyofanyika katika ukumbi wa kanisa la Anglican mjini Songea, ikiwa ni maandalizi kuelekea tamasha la Toyota litakalofanyika Juni 2025.

"Pamoja na uwepo wa vivutio katika mkoa wetu, bado mwitikio wa kutembelea vivutio hivyo umekuwa ni mdogo sana hasa kwa wananchi wa mkoa wa Ruvuma, watanzania kwa ujumla na wageni kutoka nchi zingine kuja Ruvuma kutembelea vivutio hivyo,"alisema Mhe. Magiri.

Ameongeza kuwa Mkoa kwa kushirikiana na wadau wakiwemo Wategi Traders Company wamekusudia kufanya tamasha hilo likiwa na lengo la kuvitangaza vivutio vilivyopo ndani ya mkoa ili kuunufaisha mkoa kwa kuwezesha kuingiza fedha za kigeni na kukuza pato la Mkoa pamoja na kuwafanya wadau kuwa na utamaduni wa kutembea vivutio hivyo.

Naye Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma Bi. Mary Makondo amesema kwa ushirikiano wataweza kufanikisha kulifanya tamasha hilo kwa ukubwa hivyo kila mtu ana kitu cha kufanya ili kufanikisha tamasha hilo ambalo litajumuisha magari aina ya Toyota zaidi ya 5,000.

Kwa upande wake Kamanda wa TFS Kanda ya Kusini SACC Manyisye Mpokigwa amesema siku iliyopangwa kwa  ajili ya tamasha la Toyota itasaidia vituo mbalimbali vilivyopo ndani ya mkoa kufahamika.

Hata hivyo Afisa Utalii wa Pori la Akiba la Liparamba, Maajabu Mbogo, amesema kama wadau wamejipanga kuvitangaza vivutio mbalimbali vya utalii kama vile hifadhi ya visiwa vya Lundo na Ruhila Zoo kupitia tamasha hilo.

Mkoa wa Ruvuma unajivunia kwa kuwa na vivutio vingi vya utalii ikiwemo Hifadhi ya Taifa ya Nyerere, Makumbusho ya vita ya Majimaji, Pori la akiba la Liparamba na fukwe za Ziwa Nyasa na vingine vingi.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI mwenge wa Uhuru aonya rushwa kwenye uchaguzi

    May 10, 2025
  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.