• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RUVUMA walivyoadhimisha siku ya wajane Duniani

Imewekwa kuanzia tarehe: June 25th, 2024

Takwimu za Sensa ya Watu na Makazi za mwaka 2022 zinaonesha kuwa Mkoa wa Ruvuma una jumla ya wajane wapatao 49,702.

Hayo yasemwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma Ndugu Rehema Madenge wakati anafungua maadhimisho ya siku ya wajane Duniani ambayo katika Mkoa wa Ruvuma yamefanyika kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea.

Hata hivyo amesema takwimu za kitaifa  za Sensa ya watu na makazi zinaonesha kuwa Tanzania ina wajane 1,396,262 na kwamba wajane wengi wanakabiliwa na changamoto mbalimbali.

“Baadhi ya wajane pia hujikuta wanafukuzwa nyumbani mwao,kutengwa na kunyanyaswa na ndugu wa mume Pamoja na jamii na wengine hulazimishwa kuolewa na ndugu wa marehemu pasipo ridhaa yao,pia wajane wengine hukosa utetezi mbele ya vyombo vya sheria wanapotafuta haki zao’’,alisisitiza Madenge.

Akizungumzia kaulimbiu ya siku ya wajane ya mwaka huu inayosema,Imarisha mifumo ya upatikanaji wa nishati ,kukuza uchumi wa wajane na familia,Madenge amesema kaulimbiu hiyo inasisitiza na kuhimiza matumizi ya nishati safi na salama ya kupikia.

Amesema Tanzania kama yalivyo mataifa mengine inatekeleza jitihada za jamii kutumia nishati safi ili kuondokana na uharibifu wa mazingira na athari za kiafya.

Hata hivyo Katibu Tawala huyo amesisitiza kuwa serikali inayoongozwa na  Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan inawatambua na  kuwajali wajane ambapo serikali imekuwa inafanya juhudi mbalimbali kuhakikisha changamoto za wajane zinatatuliwa.

Awali risala ya wajane iliyosomwa kwenye maadhimisho hayo  imeipongeza serikali kwa kutambua siku hiyo muhimu ambayo inatoa fursa kwa wajane kutafakari mipango ,mikakati,mafanikio na changamoto ili kuimarisha  na kuzitatua.

Wameipongeza serikali kwa kutoa fursa ya mikopo inayotokana na asilimia nne ya fedha za mapato ya ndani kwa ajili ya kuwawezesha wanawake wajane kiuchumi ambapo hadi sasa vikundi vitatu vya wanawake wajane katika Manispaa ya Songea vimepatiwa shilingi milioni 5.3.

Maadhimisho ya kilele cha siku ya wajane Duniani hufanyika kila mwaka Juni 23 ambapo kwa Mkoa wa Ruvuma yamefanyika Juni 24,2024

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.