• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RUWASA walivyodhamiria kumtua mama ndoo kichwani

Imewekwa kuanzia tarehe: August 29th, 2022

WANANCHI wa kijiji cha Namasakata Halmashauri ya wilaya Tunduru mkoani Ruvuma,wamelalamikia gharama kubwa za upatikanaji wa maji ya bomba kutokana na kupanda kwa gharama za mafuta yanayotumika kuendeshea  nishati ya  umeme wa Jenereta kupeleka maji kwenye makazi yao.

Wameiomba Serikali kupitia shirika la umeme Tanzania(Tanesco), kuharakisha ujenzi wa mradi wa umeme vijijini(Rea) ili waweze kuondokana na kadhia hiyo ambayo imesababisha baadhi yao kushindwa kumudu gharama licha ya Serikali kukamilisha ujenzi wa  wa maji.

Asha Pendeka alisema,Serikali kupitia wakala wa maji safi na usafi wa mazingira Ruwasa umefanya kazi kubwa ya kujenga mradi na kufikisha huduma ya  maji katika makazi yao,lakini wanashindwa kutumia maji hayo kwa sababu ya gharama kubwa ambapo bei kwa ndoo ya lita 20 ni Sh.100 na ndogo ya lita 10 ni Sh.50  fedha ambazo ni nyingi ikilinganisha na hali halisi ya vipato vyao.

Diwani wa kata ya Namasakata Rashid Usanye alisema, mradi huo wameupokea vizuri na huduma inapatikana wakati wote,hata hivyo tatizo kubwa kwa wanufaika wa  mradi huo ni gharama kubwa kutokana na matumizi ya Jenereta kuendesha mradi huo.

Alisema, kwa wiki moja wanatumia takribani Sh.100,000 hadi 150,000 fedha za kununulia mafuta ya Disel kujaza maji kwenye tenki la lita 60 na ameiomba Serikali kupitia Shirika la Umeme nchini(Tanesco)kuharakisha kufikisha umeme katika kijiji hicho ili uweze kuendesha mashine zinazotumika kusukuma maji kutoka kwenye chanzo kwenda kwenye tenki.

Alisema, umeme ukipatikana hata gharama ya maji itapungua na wananchi wataweza kumudu gharama za maji na pia utasaidia kuharakisha  shughuli mbalimbali za maendeleo kwa wananchi.

Kaimu Meneja wa wakala wa maji safi na usafi wa mazingira wilaya ya Tunduru Kassim Dinny alisema, mradi huo umekamilika ambapo unahudumia wakazi wapatao 3,898 na umetekelezwa kwa gharama ya Sh.152,113,475.00.

Alisema,kati ya fedha hizo Serikali kuu imetoa Sh.147,154,975.00,mchango wa wananchi Sh.4,958,500.00 na fedha zote zilizotengwa kwa ajili ya kutekeleza  kazi za mradi huo  kwa mujibu wa mkataba zimetumika.

Aidha alisema, kwa kuwa mradi umejengwa kwa kuwatumia mafundi wa ndani badala ya mkandarasi wamefanikiwa kuokoa Sh.8,216,339.50 ambazo zimetumika kutekeleza kazi za nyongeza ambazo ni kuongeza mtandao wa bomba urefu wa mita 1,723 na kujenga vituo  vinne vingine  vya kuchotea maji.
MWISHO.



Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.