• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SERIKALI yaanza kutekeleza mradi wa kituo cha afya Mbaha

Imewekwa kuanzia tarehe: July 1st, 2025

Katika kuhakikisha afya za Watanzania zinakuwa bora na endelevu, Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kuwekeza kwa kiwango kikubwa katika sekta ya afya, safari hii ikiwa ni kupitia mradi wa ujenzi wa Kituo cha Afya Mbaha kilichopo katika Kata ya Mbaha, Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma.

Kituo hicho kinatarajiwa kuhudumia wakazi 7,851 wa vijiji vinne vyenye jumla ya vitongoji 30. Tayari Halmashauri imepokea kiasi cha Sh851 milioni kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huo ambao umeanza kutekelezwa na Kampuni ya Nakahegwa Engineering kutoka Songea, ikiwa ni pamoja na ujenzi wa majengo saba ya msingi, yakiwemo jengo la OPD, jengo la wazazi, maabara, upasuaji, kufulia, kichomea taka na nyumba ya watumishi.

Mhandisi Othman King wa Halmashauri ya Nyasa amesema utekelezaji wa mradi huo umefikia asilimia 20 na unatarajiwa kuleta mapinduzi makubwa ya huduma za afya kwa wananchi wa maeneo hayo. Wakati huo huo, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Khalid Khalif amemshukuru Rais Dkt. Samia kwa uwekezaji mkubwa na kutoa wito kwa mkandarasi kukamilisha kazi hiyo kwa wakati ili wananchi waanze kunufaika.

Kwa upande wake, Mganga Mkuu wa Wilaya ya Nyasa, Dkt. John Damian Mrina amesema Wilaya ina hospitali moja, vituo vya afya vitano na zahanati 25 zinazohudumia jumla ya watu 191,193, hivyo ujenzi wa kituo hicho utapunguza presha kubwa ya upatikanaji wa huduma bora za afya katika eneo hilo.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KITUO cha mabasi cha Lundusi Peramiho chazinduliwa rasmi

    July 02, 2025
  • SERIKALI yaanza kutekeleza mradi wa kituo cha afya Mbaha

    July 01, 2025
  • RC RUVUMA azindua kituo cha mabasi Lundusi Songea

    July 01, 2025
  • MTO Ruvuma mboni ya uhai na maajabu ya utalii kuisni mwa Tanzania

    June 30, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.