• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SERIKALI yatatua changamoto ya Ucheleweshwaji wa Hati Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: June 22nd, 2022

MKUU wa Wilaya ya Songea Mkoa wa Ruvuma Pololeti Mgema amezindua zoezi la ugawaji wa Hati miliki kwa wananchi zaidi ya  30.

Akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika katika Kata ya Ruhuwiko Manispaa ya Songea amesema ziko sababu za kupewa hati miliki ya ardhi.

Mgema amesema hati miliki ya ardhi inasaidia kukuza uchumi kwa kujipatia mikopo benk pamoja na kutatua migogoro katika maeneneo yaliyo pimwa.

“Huko nyuma aliyekuwa Waziri wa ardhi Profesa  Anna tibaijuka aliwahi kusema natamani kila kipande cha ardhi katika nchi yetu kipimwe na kumilikishwa.

Amesema hati miliki inatolewa kwa mujibu wa Sheria namba 4 ya ardhi ya mwaka 1999 na kuundwa sheria nyingine namba 5 ya vijiji ya mwaka 1999 na kupeana hati miliki ya kimila ikiwa mtu hatakiwi kumili zaidi ya hekari 50 ndani ya ardhi ya kijiji.

Kamishna msaidizi wa ardhi wa Mkoa wa Ruvuma Idefonce Ndemela katika zoezi hilo amesema zoezi hilo limezinduliwa na wananchi  waondoe dhana ya upatikanaji wa hati ni shida .

“ Hati inapatikana kwa masaa machache ndiomana tumekuja na hati ambazo mwananchi atasaini hapa na msajili atasajili hapa na kamishna atasaini na watajipatia hati zao leo”.

Ndemela amesema zoezi hili walianzisha tangia mwaka 2021 katika halmashauli na matokeo yake yamekuwa makubwa na kufikia asilimia 80,na amesema zoezi hili halitaishia hapa litakuwa endelevu pale wananchi watakapokuwa wamelipia ankra zao watafikiwa.

Afisa ardhi Mteule Manispaa ya Songea Theresphory Komba amesema jumla ya viwanja  zaidi ya 2400 vimepimwa na michoro ya mipango miji 10 imeandaliwa katika maeneo ya Ruhuwiko Kanisani na wananchi zaidi ya 30 watapewa hati zao.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde na Jackson Mbano

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Juni 23,2022.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.