• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SERIKALI yatenga bilioni nne kuboresha huduma ya maji Mbinga

Imewekwa kuanzia tarehe: March 29th, 2025

Serikali imetenga zaidi ya Shilingi bilioni nne kwa ajili ya kuboresha huduma ya maji safi na salama kwa wakazi zaidi ya 60,868 wa kata nane katika Halmashauri ya Mji wa Mbinga, mkoani Ruvuma.  

Mradi huu unajumuisha ujenzi wa vyanzo viwili vya maji vyenye uwezo wa kuzalisha lita 1,613,200 kwa siku, matenki manne yenye ujazo wa lita 525,000, pamoja na mtandao wa mabomba wa kilomita 57. 

Lengo ni kuhakikisha huduma ya maji inafikia asilimia 97.8 katika maeneo yanayonufaika na mradi huu.  

Akizungumza katika hafla ya utiaji saini wa mikataba, Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mbinga (MBIUWASA ), Mhandisi Yonas Ndomba, alisema kuwa mradi huu utapunguza uhaba wa maji uliopo. 

Ameyataja Kwa sasa, mahitaji ya maji  mjini Mbinga ni lita 5,478,000 kwa siku, lakini uzalishaji upo kwenye lita 3,797,000 pekee.  

Utekelezaji wa mradi huu utafanywa na Kampuni ya Ngogo Engineering Ltd kwa gharama ya Shilingi milioni 755,194,120.25, huku Kampuni ya Simba Pipe Industries Ltd ikihusika na utengenezaji na usambazaji wa mabomba kwa gharama ya Shilingi bilioni 3,255,414,297.38. 

Mkuu wa Wilaya ya Mbinga, Mheshimiwa Kisare Makori, amezitaka kampuni husika kuhakikisha mradi unakamilika kwa wakati na kwa viwango bora.  

Naye Mwenyekiti wa Bodi ya MBIUWASA, Mhandisi Patrick Ndunguru, amewataka watendaji wa mamlaka hiyo kumsimamia mkandarasi kwa karibu ili kuhakikisha mradi unakamilika kwa wakati ili wananchi wanapata maji bila kuchelewa. 

Kupitia mradi huu, Halmashauri ya Mbinga Mji inatarajiwa kufikia asilimia 98.3 ya upatikanaji wa maji safi.


Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.