• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SERIKALI yatoa zaidi ya bilioni 18 kujenga miundombinu ya shule Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: April 1st, 2022

SERIKALI imetoa  Zaidi ya shilingi Bilioni 18 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa, nyumba za walimu, matundu ya vyoo, mabweni, maabara, pamoja na ukarabati wa shule kongwe.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Generali Wilbert Ibuge wakati akitaja mafanikio ya mwaka mmoja wa Serikali ya Awamu ya Sita mbele ya waandishi wa habari ofisini kwake Mjini Songea.

Amesema Milioni 760,162,500 zimetumika katika ujenzi wa nyumba tano za wathibiti ubora wa elimu katika Halmashauri za Tunduru, Songea Manispaa, Songea DC, Nyasa pamoja na Mbinga.

‘’Ndugu wananchi wa Mkoa wa Ruvuma napenda kuwajulisha Mkoa umefanikiwa kujenga vyumba vya madarasa 500 ikiwa shule za sekondari 448 na shule shikizi 52, ujenzi wa mabweni matatu katika shule maalumu za Msingi zenye watoto wenye ulemavu kwa gharama ya Shilingi Bilioni 10.24 kupitia Mradi Na.5441 TCRP’’, amesema RC Ibuge.

Hata hivyo amesema kiasi cha fedha Bilioni 1.48 zimetumika katika ukarabati wa Chuo cha Ualimu Songea.

RC Ibuge amesema kiasi cha fedha Bilioni 1.26 zimetumika katika ukarabati wa Vyuo viwili vya Maendeleo ya Wananchi Nandembo FDC pamoja na Muhukulu FDC.

Ameongeza kuwa kiasi cha fedha Zaidi ya shilingi  Bilioni 3 zimetumika katika ukarabati wa Shule kongwe za Sekondari Shule ya Wasichana Songea, Shule ya Wavulana Songea, Kigonsera pamoja na Tunduru.

Amesema kiasi cha fedha  Zaidi ya shilingi Bilioni  zimetumika katika ujenzi wa Vyuo vya VETA viwili vilivyopo katika Wilaya ya Nyasa na Namtumbo.

Tutaendelea kuwaletea mafanikio ya mwaka mmoja wa Serikali ya Awamu ya Sita katika Mkoa wa Ruvuma yaliyotajwa na Mkuu wa Mkoa katika habari zinazofuata kupitia tovuti yetu.

Imeandaliwa na Bahati Nyoni 

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma 

Aprili 01 2022.  

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBINGA-MBAMBABAY : barabara inayojenga utalii kwenye milima ya Kusini

    June 01, 2025
  • PICHA ya Rais Samia yapamba mti wa kihistoria Namtumbo

    June 01, 2025
  • TAIFA lamlilia Songambele Shujaa wa Uhuru aliyeishi karne moja

    June 01, 2025
  • SHAMBA la AVIV Tanzania ni mfano wa kuigwa nchini

    June 01, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.