• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SHIRIKA la all mather children lakabidhi vifaa vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 35 kwaajili ya kujikinga na UVIKO 19

Imewekwa kuanzia tarehe: August 16th, 2021

SHIRIKA la all Mather Children kwa ufadhili wa mfuko wa Maendeleo ya Kanisa  la Anglikana,  Serikali ya Canada wametoa msaada wa  vifaa vya kujikinga na UVIKO 19  vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 35.

Vifaa hivyo vimekabidhiwa  na Katibu mtendaji wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Masasi Padri Phares  Lihewe  kwa Naibu Waziri wa Afya,maendeleo ya jamii, jinsi, wazee na watoto  Mwanaidi Ally  Khamis ,wakati waziara yake ya siku nne katika Mkoa wa Ruvuma.

Lihewe amesema katika kipindi cha awamu ya pili mradi umechangia juhudi za Serikali katika kupambana na Janga la UVIKO 19 ,mradi umejikita katika kuboreshea watoa huduma mazingira rafiki ya kutoa huduma za afya,wanafunzi kuendelea kupata elimu kwa kuzingatia tahadhari ya Ugonjwa huo.

“Katika eneo hili jitihada kubwa za mradi zimeelekezwa katika usafi  kwa kutoa  matanki  28 ya lita 500  ,Sabuni  za maji 1030 ,vitakasa mikono 210 , kwenye shule za Sekondari  ikiwemo  13 za Wilaya ya Tunduru  ikiwemo Frenk Weston”.

Hata hivyo amesema malengo makuu ya mradi huo ni kuchangia juhudi za serikali katika kujikinga na madhara yanayoweza kuletwa na mlipuko wa ugonjwa wa UVIKO 19 kwa kuwawezesha watoa huduma za afya na wahudumu  kuwa na uelewa,vifaa  kinga na tiba katika tahadhali  ya ugonjwa huo.

 Kwa upande wake ,Naibu Waziri wa Afya, maendeleo ya jamii,Jinsia wazee na watoto ameliopneza Shirika hilo kwa kutoa misaada kwa kuhudumia wanafunzi ili kujikinga na ugonjwa wa mlipuko wa UVIKO 19.

Naibu Waziri amesisitiza wananchi kuweka vifaa vya kunawia mikono kwa maji tililika,Vitakasa mikono katika makusanyiko na katika nyumba za kuishi na kuvaa barakoa na wazee wenye magonjwa kama kisukari,shinikizo la damu,kansa kuto jumuika katika misongamano isiyo ya lazima na kuendelea kufuata maelekezo kutoka kwa wataalamu wa afya.

“Gonjwa hili la COVID 19 lipo na wananchi tunatakiwa tujikinge na kuondokana na tatizo hili,tuwasikilize wataalamu waafya, na wadau wa maendeleo waliopo nchini  kuendelea kutoa misaada mbalimbali katika Nyanja mbalimbali na mashirika yasiyo ya kiserikali kutekeleza majukumu na huduma zao ili  zinawafikia walengwa maana wengine katiba zao zinaonyesha kutoa misaada kwa wananchi lakini wakishafanikiwa hujinufaisha wenyewe”. Amesisitiza.

Imeandaliwa na Ofisi ya Afisa Habari

Mkoa wa Ruvuma

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.