• Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Malalamiko |
    • Gms |
Government Web Framework

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Government Web Framework

  • Mwanzo
  • madiwani
    • madiwani
      • dodoma
    • Kikuyu
    • Regional Leaders
  • Utawala
    • Regional Secretariat Structure
    • Idara
      • Human Resources
      • Planning and Cordination
      • Economy and Production
      • Miundo mbinu
      • Local Government
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Finance and Accounts
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Procurement and Supply
      • Information and Communication Technologies
      • Huduma za kisheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewa
  • Councils
    • Buchosa DC
    • Ilemela MC
    • Kwimba DC
    • Magu DC
    • Misungwi DC
    • Mwanza CC
    • Sengerema DC
    • Ukerewe DC
  • Investiment Opportunity
    • Agriculture
    • Livestock
    • Huduma
    • Industries and Trade
    • Mining
    • Fishing
  • Tourism Centers
    • Saanane National Park
    • Bujora
    • Bismarck Rocks
    • Nyakuberega
    • Nyamadoke
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • hotuba
    • Press-Releases
    • Video
  • Machapisho
    • Forms
    • Miongozo
    • Taarifa

SHULE 164 Mbinga zakabidhiwa vitabu vya kiada

Imewekwa kuanzia tarehe: March 8th, 2024


Mkuu wa Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma amekabidhi vitabu vya kiada  kwa wakuu wa shule za msingi 164 vyenye thamani ya shilingi milioni 22.

DC Mangosongo amekabidhi vitabu hivyo na taulo  kwa ajili ya wanafunzi wa Kike katika hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa sekondari ya Kigonsera.

Akizungumza baada ya kukabidhi hivyo hivyo Mangosongo amesisitiza vifaa hivyo vikatumike kwa malengo yaliyokusudiwa na sio vinginevyo..

“Kwa niaba ya wananchi wa Mbinga namshukuru  Mheshimiwa Rais Dkt, Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha nyingi za kuboresha miundombinu ya vyoo, madarasa na madawati na sasa vitabu lengo kubwa ni kuimarisha na kuweka mazingira wezeshi ya kujifunzia na kufundishia kwa walimu na wanafunzi ili kuongeza ufaulu”,alisisitiza.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Andrew Mbunda amesema Halmashauri ya Wilaya Mbinga imepokea vitabu vya kiada na ziada kwa ajili ya shule za msingi 164 kwa ajili ya darasa la awali, la kwanza,pili na tatu pamoja na taulo za kike kwa watoto ambao wameanza balehe.

Kwa upande wake Mwalimu Agnes Mpika amesema vitabu hivyo vitaongeza ufanisi kwa wanafunzi katika tendo la kujifunza ili kuongeza ufaulu na kukuza ubora wa elimu inayotolewa shuleni.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru 2025 waikubali miradi yote Mbinga

    May 12, 2025
  • WANANCHI walivyojitokeza kuupokea mwenge wa Uhuru katika kijiji cha Maguu Mbinga

    May 11, 2025
  • MAHABA ya wananchi wa Mbuji wilayani Mbinga kwa Mwenge wa Uhuru 2025

    May 11, 2025
  • MBUNGE Kawawa aleta neema Namtumbo

    May 11, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Majibu ya haraka
    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.