• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SHULE ya Msingi Huduma inauhitaji wa shilingi Milioni 20 kukarabati Miundo mbinu

Imewekwa kuanzia tarehe: February 16th, 2022

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Generali Wilbert Ibuge amechangisha harambee ya  kiasi cha shilingi milioni 9 kwaajili ya ukarabati wa Miundombinu ya Shule ya Msingi Huduma.

Afisa Elimu Mkoa Juma Fulluge amemuwakilisha Mkuu wa Mkoa huo katika harambee ya kuchangia shule hiyo iliyopo Kata ya Ruhuwiko Manispaa ya Songea inauhitaji wa shilingi Milioni 20 ili kukarabati majengo hayo.

Hata hivyo amesema harambee hiyo ni kwaajili ya ukarambati wa miundombinu iliyopo pamoja na ujenzi wa vyoo ili wanafunzi wapate mazingira rafiki ya kujisomea.

Mkoa wa Ruvuma umepata shilingi bilioni 4 kwaajili ya ujenzi shule ya Mkoa na kwa upande wa afya Serikali inahakikisha inajenga vituo vya Afya na Hospitali kwaajili ya Watanzania.

Fulluge amesema serikali ya awamu ya Sita inafanya kazi kubwa ya kuhakikisha ustawi wa wananchi wa Tanzania ikiwemo Mkoa wa Ruvuma fedha zilizoletwa katika ujenzi wa Madarasa ya Uviko 19 ni shilingi bilioni 10 na kujenga vyumba 500 za Sekondari.

Mkuu wa Shule ya Huduma Marcia Kapinga akisoma taarifa kwa mgeni rasmi amesema Shule ya Msingi Huduma ipo ndani ya eneo la Jeshi Kikosi 411KJ Ruhuwiko na ilijengwa kwaajili ya  Wanajeshi kujiendeleza Kielimu  mwaka 1978. Na kuzinduliwa na Hayati Mwalimu Nyerere..

Kapinga amesema kwasasa Shule ipo chini ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea  na inahudumia wananchi wote wanaoishi katika eneo lililozungukwa na kambi ya Jeshi na inajumla ya Wanafunzi 1139.

Amesema shule inamafanikio ya ufaulu wa asilimia 99 kwa miaka mine mfulullizo na changamoto ikiwemo upungufu wa madarasa ,uhaba matundu 32 ya vyoo vya wanafunzi  pamoja na uchakavu wa matundu 10,Upungufu  wa madawati 138 yaliyopo ni machakavu.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka ofisi ya Habari ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Februari 16,2022

 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.