• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

TUNDURU kufungua soko la kimataifa la madini ya vito

Imewekwa kuanzia tarehe: March 2nd, 2024

Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo  wanakamilisha ujenzi wa soko jipya la kimataifa  la madini ya vito .

Murungenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Chiza Marando amelitaja soko hilo kuwa  litakuwa soko kubwa zaidi Afrika Mashariki katika madini ya vito.

“ujenzi wa soko hili ulioanza Desemba 2023 unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa Aprili 2024, mradi unagharimu zaidi ya shilingi bilioni moja “,alisema 

Amebainisha zaidi kuwa soko hilo litakuwa na uwezo wa kutumiwa na Kampuni 155 za madini ya vito kwa wakati mmoja.

Hata hivyo amesema hadi sasa kampuni 130 zimeshaomba nafasi ya kufanya biashara kwenye soko hilo na kwamba eneo la soko lina uwezo wa kubeba kampuni zaidi ya  500.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Wakili Julius Mtatiro ameupongeza uongozi wa Halmashauri hiyo  kwa maamuzi ya kujenga soko la madini lenye hadhi ya kimataifa.

Amesisitiza kuwa soko hilo litakuwa na tija katika rasilimali za madini ya vito zilizopo hapa nchini .

DC Mtatiro ameiagiza Halmashauri ya Tunduru kukamilisha haraka ujenzi huo na kuhakikisha soko linaanza kufanya kazi kwa wakati. 

Amesema soko hili la pamoja likianza litapunguza vitendo vya utoroshaji wa madini ya vito wilayani humo, ambavyo vinafanywa na baadhi ya wafanyabiashara wasio waaminifu.

Hata hivyo ametahadharisha kuwa  soko hili likianza serikali haitaruhusu tena masoko madogo madogo kama TUDECO na GENERATİON kuendelea na kazi kwani utitiri wa masoko hayo  umekuwa chanzo cha utoroshaji wa madini ya vito.

 Afisa Migodi wa Wilaya ya Tunduru Emmanuel Bushi amelitaja Soko Jipya la Pamoja la Kimataifa la Madini ya Vito litakuwa mkombozi wa wachimbaji wadogo kwa kuwa watapata ushindani na bei zenye tija,

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.