• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

TAKUKURU yatoa taarifa ya mienzi mitatu ya utekelezaji

Imewekwa kuanzia tarehe: November 29th, 2022

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Ruvuma imetoa taarifa kuhusu utendaji kazi wake wa mienzi mitatu kuanzia Julai hadi Septemba

Akizungumza na waandishi wa habari  mapema hii leo Novemba 29, 2022 Naibu Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Bi Janeth Haule katika ofisi yao iliyopo mtaa wa mahenge Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma

Amesema TAKUKURU katika kipindi cha mienzi mitatu iliendelea  kutekeleza majukumu yake kufanya uchunguzi wa makosa ya rushwa na kuwafikisha mahakamani wale waliobainika na kujihusisha na vitendo vya rushwa katika mifumo ya taasisi za umma na sekta binafsi

Amesema kwa kipindi cha mienzi mitatu taasisi hiyo imefuatilia utekelezaji wa miradi ya maendeleo yenye thamani ya Zaidi ya shilingi bilioni 6.3 na ufuatiliaji huo imefanyika katika Wilaya ya Songea, Mbinga na Tunduru

Pia ameeleza kuwa TAKUKURU katika ufuataliaji imebaini ujenzi wa maradi wa Barabara Manispaa ya Songea pamoja na Halmshauri ya Wilaya ya Mbinga wenye thamani ya shilingi bilioni 5.7 kukusekana kwa vivuko vya watumiaji barabara katika maeneo ya wazi

Amesema ujenzi wa nyumba za watumishi  Wilaya ya Nyasa zenye thamani ya shilingi milioni 90 wamebaini kuwepo na kasi ndogo ya kuleta matofali kutoka kwa mtu aliyepewa wa Nyasa pamoja na Wilaya ya Tunduru kwenye mradi wa ujenzi wa shule mpya ya sekondari Wilaya wenye thamani ya shilingi milioni 470 wamebaini mafundi walikuwa wameanza kufanya kazi bila kusaini mikataba yao ya kazi

Hata hivyo TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma amefanikiwa kufanya kazi mbili za uchambuzi za usimamizi wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika idara ya elimu  misingi wa sekondari katika manispaa ya Songea

Amesema wajumbe wakamati za ujenzi , manunuzi na mapokezi kupangwa katika kamati Zaidi ya moja pia upandishaji wa bei ya vifaa vya ujenzi unaofanywa na wajumbe wa kamati na baadhi wa wazabuni wasio kuwa waadilifu pia vifaa vya ujenzi kupokelewa bila kukaguliwa na Mhandisi

Pia uchambuzi wa mfumo wa ukusanyaji  yatokanayo na ushuru wa makaa ya mawe katika Wilaya ya Mbinga wamebaini  yapo magari ambayo yamewai kupita bila kulipa ushuru yakafukuziwa yakalipa ushuru pasipo kutozwa kodi

Amesema TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma katika kipindi cha mienzi mitatu ijayo kuanzia mwezi Oktoba hadi Desemba wamejipanga kuelimisha wananchi juu ya rushwa na madhara yake katika usimamizi wa miradi ya maendeleo lengo kuwawezesha kupata uelewa na kuweza kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa karibu na weledi wa hali ya juu

Amewasisitiza wananchi waendelee kushirikiana na TAKUKURU kwa kutoa taarifa za vitendo vya rushwa pia nao kama TAKUKURU wataendelea  na zoezi la kutembelea wananchi katika maeneo yao kwa lengo la kusikiliza kero za rushwa

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.