• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

TRA yagawa sukari kwa sekondari tano Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: January 26th, 2023

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)Mkoa wa Ruvuma imegawa sukari kwa shule tano za Sekondari tano za Mkoa wa Ruvuma.

Sukari iliyogawiwa katika shule hiyo imekamatwa  wakati ikiingizwa Nchini  kwa magendo wilayani Nyasa kutoka Nchi jirani ya Malawi.  

Akizungumza kwenye hafla ya ugawaji sukari hiyo,Mkuu wa Wilaya ya Mbinga ambaye pia ni Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Nyasa MHE Aziza Mangosongo ameipongeza TRA kwa kufanya ukaguzi wa mara kwa mara ili serikali ipate mapato halali.

Wakuu wa shule waliokabidhiwa Sukari ni kutoka sekondari za Mbamba bay, Kigonsera,Sekondari ya Wavulana Songea,sekondari ya Wasichana Songea,na sekondari ya Sekondari Tunduru . Naye Meneja wa TRA Mkoa wa Ruvuma Nicodemus Mwakilembe amesema wameamua kugawa  katika shule tano za  bweni ambapo kila shule imepata Mifuko 54 ya kilo 20. 

Awali Akitoa Taarifa ya upatikanaji wa sukari hiyo ya magendo, Meneja wa TRA Mkoa wa Ruvuma bw, Nicodemus Mwakilembe amesema Sukari hiyo ilikamatwa katika sehemu iliyohifadhiwa ili isafirishwe, sehemu mbalimbali hapa nchini na imeingizwa kwa magendo kutoka Nchi ya Malawi. Amefafanua kuwa, kwa kuwa sukari ilikuwa haina vibali sharia inawataka kutaifisha na kutumiwa sehemu mbalimbali kama vile shule na mara baada ya mapendekezo ya vikao halali wameamua kugawa  katika shuleza 5 za  bweni na Kila shule imepata Mifuko 54 ya kilo 20.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.