• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

TUNDURU wauza mbaazi za bilioni 2.5 kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani

Imewekwa kuanzia tarehe: August 25th, 2023

Wakulima wa mbaazi wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma wamepata dhamana ya kuuza mbaazi kilo1,223,665, zenye thamani Zaidi ya bilioni 2.5 katika mnada wa pili wa mbaazi msimu wa 2023/2024.

Operesheni meneja Chama Kikuu cha Ushirika Tunduru (TAMCU LTD), Ndg. Marcelino Mrope amesema kwamba, tani 839 zenye thamani ya Zaidi ya shilingi bilioni 1.6 zilikusanywa katika mnada wa kwanza wa mbaazi kwa msimu huu. Ameyasema hayo wakati wa mkutano wa uuzaji wa mbaazi katika mnada wa pili Kijiji cha Msinji.

“Tulifanikiwa kukusanya tani 839 katika mnada wa kwanza wa mbaazi kwa msimu huu na kuuza mbaazi zetu kwa bei ya wastani shilingi 2,016 na kufanya zaidi ya shilingi bilioni 1.6 kuingia katika mzunguko wilaya ya tunduru”. Alisema

Katika mnada wa pili msimu huu wa mbaazi wanunuzi 15 wamejitokeza kuweka zabuni kununua mbaazi kilo 1,223,665, ambapo wanunuzi watano walifanikiwa kununua mbaazi zote zilizopo ghalani kwa bei ya juu shilingi 2,085 na bei ya chini shilingi 2,075 na kufanya bei wastani kuwa 2,079, ambapo jumla ya shilingi bilioni 2.5 zimeingia katika mzunguko wilaya ya Tunduru. Hayo yalisemwa na Mwenyekiti wa Chama kikuu cha ushirika Tunduru (TAMCU LTD) Ndg. Mussa Manjaule wakati akitangaza bei ya mbaazi katika mnada wa pili wa mbaazi.

Aidha Ndg manjaule amewasihi wakulima wilaya ya Tunduru kuwa fedha hizi wanazozipata waendelee kuwekeza katika sekta ya kilimo kwa kuwa kilimo ni muhimili muhimu wa uchumi katika wilaya yetu ya Tunduru na kuwaomba kuendelea  kulima Zaidi mazao hayo mbadala ya uchumi.

“Fedha tunazozipata  tukawekeze, sisi kama wakulima ili tufikie lengo la kupandisha uchumi wa wilaya yetu”

Mnada wa tatu wa zao la mbaazi katika wilaya ya Tunduru  unatarajiwa kufanyika  mnamo  Agosti 31,2023 katika Kijiji cha Angali 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI Mwenge wa uhuru ashiriki upandaji miti Songea

    May 11, 2025
  • MWENGE wa uhuru waweka jiwe la msingi shule ya amali Songea

    May 11, 2025
  • MWENGE wa uhuru wazindua jengo la EMD Peramiho

    May 10, 2025
  • MWENGE wa uhuru waingia Pers

    May 10, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.