• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

UMISSETA Ruvuma yatoa wanamichezo 2 walioshiriki kucheza timu ya Taifa ya Afrika Mashariki

Imewekwa kuanzia tarehe: September 14th, 2022

MKOA wa Ruvuma umefanikiwa kutoa wachezaji wawili waliochaguliwa kujiunga na  timu ya Taifa ya wanafunzi ya Afrika Mashariki.

Hayo amesema Afisa Michezo Mkoa wa Ruvuma Antony Luoga kuwa wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na timu ya Taifa ni Longinus Mapunda kutoka Wilaya ya Songea na William Ngindo kutoka Wilaya ya Nyasa.

Luoga amesema kwa upande wa michezo ya  UMITASHUMTA wamechaguliwa wanafunzi wawili kucheza timu ya Taifa akiwemo Fadhili Abdallah pamoja na Abdallah Mohamed wote wametoka Wilaya ya Tunduru.

Amesema Mkoa kwa michezo ya Shule ya Msingi na Sekondari mwaka 2021 Mkoa umeshiriki katika Mashindano yaliyofanyika Mkoa wa Mtwara ,Ruvuma haikufanya vizuri timu zilitolewa katika robo fainali.

“Mkoa wetu haukufanya vizuri timu zilitolewa hatua ya robo fainali na hivyo kushindwa kupata ushindi katika UMITASHUMTA”.

Hata hivyo amesema mashindano ya CHIMIWI  mashindano hayo yanahusisha watumishi wa Serikali wa Wizara na Idara Serikali mwaka 2021 Mkoa wa Ruvuma ulipata ushindi wa kwanza katika mchezo wa bao.

Luoga ameelezea mashindano ya SAMIA Taifa Cup hujumuisha wananchi kwa ujumla yakiwa na lengo la kuibua vipaji ambavyo vitatumika katika Timu za Taifa na vilabu mbalimabli vinavyoshiriki ligi za Kitaifa.

“Katika mashindano hayo Mkoa wa Ruvuma umekuwa washindi wa Tatu  katika mpira wa Miguu Kitaifa”.

Amesema Vijana wawili wa Sanaa ya Muziki wa kizazi kipya wamepata ufadhili wa masomo katika chuo cha sanaa Bagamoyo kwa muda wa mwaka mmoja na wanamichezo sita wamechaguliwa katika timu ya Taifa na vilabu.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Septemba 14,2022.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.