• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

VIONGOZI wa Kata watakiwa kusimamia miradi kikamilifu

Imewekwa kuanzia tarehe: October 28th, 2022

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Songea limewataka watendaji wa kata na Vijiji kuwajibika kusimamia miradi yote kikamilifu ambayo ipo katika maeneo yao

Agizo hilo nimetolewa na Baraza la Madiwani kwenye kikao cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha22/23 kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri hiyo Mkoani Ruvuma.

Akizungumza kwenye kikao hicho Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mhe, Menas Komba alisema wao kama baraza la madiwani hawapo tayari kuona Fedha za Serikali zikitumika vibaya kwa uzembe wa baadhi ya viongozi kutowajibika katika kusimamia miradi

Komba alisema niwajibu wa kila kiongozi wa kata katika Halmashauri hiyo kusimamia na kufuatilia matumizi sahihi ya fedha katika miradi yote inayojengwa kwenye maeneo yao kwani kama Halmashauri  haipo tayari kupokea hati chafu kwasababu ya uzembe wa watendaji

“Lakini niwaombe waheshimiwa madiwani na viongozi wa kata mkasimamie majengo na mkayaelewe mamlaka yenu kama viongozi wa kata msikubali kuona miradi inayotekeleza na fedha za Serikali kupitia kodi za wananchi kujengwa chini ya kiwango” alisema komba.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Ndugu Neema Magembe amelihakikishia Baraza hilo la madiwani kuwa maagizo yote ya kikao hicho yatafanyiwa kazi kwa ufanisi mkubwa kwa kushirikiana na viongozi wa kata

“Ni kuhakikishie Mwenyekiti mbele ya baraza lako kuwa haya maagizo yote ni yakwetu tuingie kazini tukafanye kazi kwa maana hii inaonyesha wajibu wetu hatutekelezi vizuri hivyo niwasisitize watalamu turudi na majibu ya hiki tulichoelekezwa na baraza hili”alisema Magembe.

Maagizo hayo yamekatokana baada ya kusomwa kwa taarifa ya kamati ya fedha na mipango katika kikao cha baraza la madiwani ikionyesha baadhi ya miradi kutotekelezwa vizuri  kwa kutosimamiwa ipasavyo

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI mwenge wa Uhuru aonya rushwa kwenye uchaguzi

    May 10, 2025
  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.