• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WAANDISHI wa habari waaswa kuzingatia maadili

Imewekwa kuanzia tarehe: November 20th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahmed Abbas Ahmed, amewasisitiza waandishi wa habari kuendelea kuyazingatia maadili ya uahandishi wa habari na kuwaelimisha wengine ambao wanakiuka maadili hayo.

Ameyasema hayo wakati akifungua Semina ya kijamii kuhusu kukuza uhuru wa kujieleza iliyofanyika katika ukumbi wa Hospitali ya Mkoa, Songea (HOMSO) mjini Songea, ambayo iliandaliwa na Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) kwa kushirikiana na Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoani Ruvuma (RPC).

"Wale ambao mnawaona wanaenda kinyume na sheria zenu msiwaone ni maadui, endeleeni kuwakumbusha, endeleeni kuwarudisha kwenye mstari ili muendelee kuijenga tasnia ya habari katika viwango vya juu vya thamani, wachache wasiwaharibie," alisema Kanali Ahmed.

Amewakumbusha waandishi wa habari kuendelea kuwahamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka huu ili kuwachagua viongozi ambao watashirikiana na Serikali kuleta maendeleo kwenye Mkoa na Taifa kwa ujumla.

Kupitia Semina hiyo iliyowakutanisha wadau kutoka taasisi za kijamii, vyama vya siasa, viongozi kutoka Serikalini na dini pamoja na watu binafsi wenye ushawishi katika jamii, Kanali Ahmed amesema anawapongeza na anatambua kazi kubwa zinazofanywa na waandishi wa habari ya kuwahabarisha wananchi, hivyo ataendelea kushirikiana nao kuhakikisha kazi hiyo wanaifanya kwa mafanikio makubwa.

Uhuru wa kujieleza unapaswa kutumika kwa uwajibikaji, kuhakikisha maoni yanayotolewa hayavunji sheria wala kuumiza wengine, ni muhimu kuzingatia mipaka.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.