• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WAJUMBE wa kamati maalumu ya Bunge wapata somo kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani Mbinga

Imewekwa kuanzia tarehe: September 25th, 2021

NAIBU Katibu Mkuu wa Viwanda na Biashara Dkt Hashil T.Abdallah na  Wajumbe  wa kamati maalumu ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wametembelea Mkoa wa Ruvuma  kwa lengo la kujifunza.

Mkuu wa Msafara huo Katibu wa Wabunge wa CCM  Rashidi shangazi mara baada ya kutembelea Kiwanda cha kukoboa Kahawa na vyama vya Ushirika katika Wilaya ya Mbinga  na kuona swala zima la skabadhi  ghalani amesema ni mfumo ambao unaongezea mazao thamani na kuleta tija kwa wakulima.

Mhe. Shangazi amesema kupitia mfumo wa Stakabadhi ghalani kuna maeneo ambayo yanachangamoto na inatakiwa  kujifunza kwa wengine waliofanikiwa ili wajue hatua walizopitia na kufanikiwa na sera za kazi.

Amesema kwa wasimamizi wa Serikali lazima wajue changamoto na wazitatua ili waweze kufanikisha hata Ilani ya CCM imeamini mfumo huo unaweza kulifanikisha Taifa hasa katika mauzo ya nje kwa kuyaongezea thamani bila kuacha makampuni kujiendesha kiholela.

“Kama Taifa linaweza  kuona fahari ya kujinasibu kuwa kuuza mazao nje mazao na kupelekea uchumi wa kati kwa kuwezesha viwanda vidogovidogo “

Shangazi ametoa wito kwa vikundi vya Ushirika na AMCOS kuwa na uaminifu ili wakulima wajiamini kuwa mfumo wa Stakabadhi ghalani ni mkombozi katika maisha  yao.

Afisa mahusiano  kutoka  Bank ya NMB Amani Shabani amesema wamekuwa  wadau wakubwa katika zao la Kahawa kwa Mkoa wa Ruvuma na wamefanikiwa kutoa mikopo mbalimbali kwaajili ya kuwezesha uzalishaji na ukusanyaji wa zao hilo.

Hata hivyo Shabani amesema mwaka 2019-2020 wametoa mikopo ya stakabadhi ghalani shilingi bilioni 9.2 mwaka  2020-2021 bilioni 11.4 na mikopo ya pembejeo milioni 900 pamoja na mwaka 2021-2022 mikopo ya stakabadhi ghalani bilioni 13.2 na pembejeo bilioni 2.8.

Amesema kwa msimu wa mwaka 2021-2022 wamefanikiwa kutoa mikopo ya pembejeo kwa vyama vya Ushirika 26 pamoja na wakulima 247 yenye thamani ya shilingi bilioni 2.8.

Kwa upande wake Meneja wa chama cha Ushirika cha msingi Kimuli wamesema kimejikita katika miradi ya mazao,pembejeo,mashine za kusaga nafaka,mashamba ya miti,usafirishaji pamoja na maendeleo ya jamii na wameweza kufanikiwa kwa kujikwamua kimaisha na kijamii.

Amesema chama hicho kimeweza kusaidia miradi mbalimbali ya maendeleo kwa kutumia fedha zilizotokana na mapato premium na ziada za ndani,kwa kukarabati majengo ya shule na Zahanati jumla ya zaidi ya shilingi milioni 229.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Ruvuma

Septemba 24,2021

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI mwenge wa Uhuru aonya rushwa kwenye uchaguzi

    May 10, 2025
  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.