• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WAKULIMA wadogo Ruvuma wanufaika na mbegu bora ya Mahindi aina DKC 9089

Imewekwa kuanzia tarehe: January 4th, 2021

MKOA wa Ruvuma umenufaika na  Mbegu bora za Mahindi aina ya DKC 9089 tani 25 zenye thamani ya shilingi Milioni  miamoja hamsini  kutoka kampuni ya Baya kupitia shirika lisilo la kiserikali ( ACT) Balaza la kilimo.

Akitoa taarifa hiyo Afisa kilimo Mwandamizi wa Mkoa wa Ruvuma Enock Ndunguru amesema Msaada wa Mbegu umetolewa kwa Nchi nzima kwaajili ya kusaidia wakulima wadogo kupitia ugonjwa wa Corona kwa Mkoa wa Ruvuma tani hizo 25 zimenufaisha Halmashauri 2,Mbinga vijijini na Songea vijijini.

Ndunguru amesema Mbegu hizo zimegawiwa kwa wananchi zaidi ya Elfu nane,elfu nne kutoka Halmashauri ya Mbinga na Elfu nne kutoka Halmashauri ya Songea Vijijini na wanufaika wamepata Mbegu za kutosha kwa robo heka yani kilo 2 mpaka nusu heka kilo 4.

“Hizi mbegu zote zinatolewa bure haziuzwi na muundo wa kuwapata wakulima wadogo umeelekezwa kwa wakulima wadogo,Wakurugenzi wa Halmashauri ya Mbinga na Songea na wakuu wa idara za Kilimo na Mabwana shamba ndio walioshirikiana na watendaji wa vijiji kupata orodha ya wanufaika”.

Hata hivyo afisa kilimo mwandambizi wa Mkoa akielezea Mbegu hizo aina ya DKC 9089 amesema zinauwezo wa kuzaa gunia 40 kwa hekari hadi 44 Mbegu zimekwisha kufika na wamekwisha sambaza kwa Halmashauri husika na kuwafikia wanufaika zaidi ya elfu nane

Ndunguru amesema Shirika ACT limeanza kufanya kazi kwa Mkoa wa Ruvuma kuanzia mwaka 2000 kwa kuwajengea wakulima uwezo wa kulima  kilimo bora na kilimo kinaleta tija kwa wakulima.

Hata hivyo shirika hilo litaendelea kusimamia kwa karibu kwa maeneo ambayo mbegu imeenda Wilaya ya Mbinga vijijini na Wilaya ya Songea Vijijini.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Halmashauri ya Madaba

JANUARI 4,2021

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.