• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WANANCHI Mbinga wachangia milioni 60 kuanzisha mradi ujenzi wa shule/Mbunge awaunga mkono

Imewekwa kuanzia tarehe: March 18th, 2023

WANANCHI  wa Mtaa wa Masasi na Lusewa kata ya Luhuwiko Halmashauri ya Mji wa Mbinga mkoani Ruvuma wameibua mradi wa ujenzi wa shule ili kuwawezesha Watoto wao kupata elimu eneo la Jirani.

 Mbunge wa Jimbo la Mbinga Mjini Mhe Jonas Mbunda ameahidi kutoa vifaa mbalimbali vya umaliziaji wa ujenzi wa shule ya Msingi Lusewa.

 Vifaa ambavyo Mbunge huyo ameahidi  kutoa  ni matofali 500 kwa ajili ya ujenzi wa matundu vyoo, mifuko 30 ya saruji na fedha kiasi cha shilingi laki tano.

Akisoma taarifa ya maendeleo ya mradi huo , Afisa MtendajI Mtaa wa Masasi  Kasmir komba amesema ujenzi wa shule ya Msingi Lusewa ulianza kujengwa Desemba 29,2022 ikiwa na lengo la kujenga vyumba tisa vya madarasa na ofisi nne ambapo hadi sasa wameanza na ujenzi wa vyumba vitatu na ofisi moja vilivyogharimu shilingi milioni 60.

Amesema wananchi wa kata hizo waliamua kuibua mradi wa ujenzi wa shule, baada ya kuwepo kwa changamoto ya umbali mrefu wa watoto wao kufuata shule.

Hata hivyo ili kuhakikisha mradi unatekelezwa wananchi wamekubaliana kila kaya kuchangia shilingi 250,000.

Matangazo

  • RATIBA ya Mwenge wa Uhuru mwaka 2023 March 31, 2023
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara June 30, 2023
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma September 30, 2023
  • WALIOCHAGULIWA kidato cha kwanza March 31, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • BILIONI 20 za Rais Samia zilivyojenga shule mpya 11 na madarasa 656 Ruvuma

    March 26, 2023
  • RAIS SAMIA atoa zaidi ya shilingi bilioni 233 kutekeleza miradi Tunduru

    March 25, 2023
  • KAMATI ya Afya na Lishe Manispaa ya Songea ilivyodhamiria kuondoa utapiamlo na udumavu

    March 25, 2023
  • MFUKO wa Misitu Tanzania watos ruzuku ya miti kwa shule za Mbinga

    March 25, 2023
  • Tazama zote

Video

RAIS SAMIA alivyomaliza kero ya maji Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 74 Songea

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: 0252602256

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.