• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WANAOTUMIA nyavu haramu kuvua samaki ziwa Nyasa wajisalimishe

Imewekwa kuanzia tarehe: May 19th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Mh, Filberto Sanga tarehe 17/05/2023 akiwa na kamati ya Ulinzi na usalama na wataalam wa  Wilaya ya Nyasa, amefanya kikao na kikosi Cha kutunza na kutumia raslimali za uvuvi ( BMU) wavuvi,wachuuzi na viongozi wa Kata na vijiji  mwambao mwa ziwa Nyasa.

Lengo la kikao hicho ni kukubaliana jinsi Ziwa Nyasa Linavyoweza kuongeza mapato,na kuacha uvuvi haramu.

Akifungua Kikao MH.Sanga amesema amelazimika kuitisha kikao hicho ili kutoa elimu na kufanya makubaliano na wavuvi na watumiaji wa raslimali za uvuvi ili kuongeza tija  kipato Cha mtu mmoja na Taifa Kwa ujumla.

Ameongeza kuwa ili Wilaya iweze kuendelelea ni lazima tuwe na vikao vya kupeana uzoefu Na kuwataja wampe uzoefu jinsi Hali ilivyo na Serikali iwasaidie nini.

Wavuvi wamemshukuru MKuu wa Wilaya ya Nyasa Kwa kufanya kikao na wamemwomba kuboresha zana za uvuvi ili ziwe za kisasa ombi ambalo limepokelewa na mkuu wa Wilaya ya Nyasa na kuwataka wajisajili katika vyama vya ushirika vya wavuvi,ili waweze kupata mikopo mbalimbali ya Serikali.

Hata hivyo kikao hicho kimekubaliana , wavuvi wote wenye Nyavu haramu kuZisalimisha ndani ya siku 30 kuanzia tarehe ya Leo,mara baada ya hapo msako mkali utaanza na kuwafikisha mahakamani wale wote watakaokamatwa na Nyavu haramu.

Aidha Kila mvuvi awe mlinzi wa mwenzie na atoe taarifa pale anapoona Kuna mvuvi anatumia Nyavu haramu.

Viongozi wa Kata na vijiji waendelee kutoa Elimu Kwa wananchi na wavuvi ili kuzuia uvuvi haramu.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.