• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WATOTO 289 wagundulika na kifua kikuu Tunduru

Imewekwa kuanzia tarehe: April 6th, 2022

WATOTO 289 walio chini ya umri wa miaka 0-14 walikutwa na maambukizi ya ugonjwa wa kifau kikuu mwaka 2021 katika wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma.

Mratibu wa kifua kikuu na ukoma wa wilaya ya Tunduru Dkt Mkasange Kihongole alisema hayo kwa nyakati tofauti, wakati wa kampeni za uchunguzi wa ugonjwa huo kwa watoto inayoendelea katika vijiji mbalimbali wilayani humo.

Alisema kati yao, watoto walio chini ya umri wa miaka 0-4 walikuwa 29 sawa na asilimia 56, miaka 5-9 walikuwa 32 sawa na asilimia 4.17 na kuanzia umri wa miaka 10-14 walikuwa 30 sawa na asilimia 3.19.

Mkasange alisema, kwa mwaka 2021 lengo ilikuwa kuibua wagonjwa 741,hata hivyo walivuka lengo na kufanikiwa kuibua wagonjwa 768.

Ameishukuru Serikali na wadau mbalimbali wakiwamo Shirika lisilo la kiserikali la MDH, kwa mchango wao uliowezesha wataalam wa kitengo cha kifua kikuu na ukoma kufanikisha kampeni hizo ambazo zimesaidia sana kuibua wagonjwa wengi.

Alisema,kutokana na ukubwa wa ugonjwa huo wilayani Tunduru,serikali kupitia Hospitali ya wilaya kitengo cha kifua kikuu na ukoma wameanzisha kampeni ya kupita kila kijiji na badaye kila nyumba ili kufanya uchunguzi kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano.

Dkt Mkasange alisema, baada ya watoto wataendelea kwa watu wazima na watakaobainika kuwa na ugonjwa ho wataanzishiwa dawa papo hapo ili jamii ya watu wa Tunduru iwe salama na kushiri vyema ujenzi wa Taifa.

“kampeni ya uchunguzi wa TB kwa watoto tumezindua mwezi uliopita na tumekusudia kufika kila kijiji kwa ajili ya kufanya uchunguzi kwa watoto,tunaomba sana wazazi na walezi kuleta watoto ili kufahamu afya zao”alisema Mkasange.

Alisema,kampeni hiyo ni endelevu na ya lazima kwa watoto wote walio chini ya umri huo na kuendelea kufanyiwa uchunguzi wa afya zao.

Aidha alisema, kuanzia Mwezi Januari hadi March 2022 jumla ya watu 120 kati yao 57 ni watoto wamepatikana kuwa na virusi vya ugonjwa huo.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI mwenge wa Uhuru aonya rushwa kwenye uchaguzi

    May 10, 2025
  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.