• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WAZIRI Aweso ataka Wananchi washirikishwe kulinda Vyanzo vya Maji

Imewekwa kuanzia tarehe: October 5th, 2022

WAZIRI wa Maji Mhe, Jumaa Hamidu Aweso amewataka viongozi wa bodi ya maji Mkoani Ruvuma kuwashirikisha wananchi kulinda vyanzo vya maji

Waziri Aweso alitoa agizo hilo wakati wa ziara yake ya kikazi mkoani Ruvuma, kwenye Hafla ya uzinduzi wa bodi ya sita ya bonde la Ziwa Nyasa katika ukumbi wa Heritage cottage mjini Songea

Alisema ni vizuri wananchi washirikishwe kwa kuwapa elimu ya ulindaji wa vyanzo ili kuweza kuondokana athari za ukosefu wa maji pia amewataka wakurugenzi wa mamlaka ya maji kutambua majukumu yao ya msingi asa kutambua vyanzo pamoja na kuvipa kipaumbele kwa kuwashirikisha  wananchi.

“Vyanzo vyote vya maji vinapita kwenye Jamii na kila eneo kuna Wananchi kama kiongozi wenu nimejifunza kuwa Jamii ipo tu siku zote ukiishirikisha mtafanikiwa na msipo ishirikisha mtakwama kama kiongozi wenu naomba  tushirikiane na jamii tutafanikiwa kulinda vyanzo vya maji” alisema  Aweso.

Hata hivyo amewasisitiza viongozi wa bodi hiyo ya sita bonde la Ziwa Nyasa ikasimamie rasilimali za Maji kwani serikali inawekeza fedha  nyingi kwenye miradi hiyo ya Maji kwa lengo la kupunguza chamgamoto za maji na kulinda vyanzo vya vyake.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amemshukuru Mhe, Rais Samia Suluhu kwa kutoa fedha za miradi ya Maji yenye thamani ya shilingi bilioni 42 ambayo inatekeleza ujenzi wa miradi 35 mkoani umo

“Tunamshukuru sana Mhe, Rais kwa kutambua shida zetu na kweli kwa dhati ya moyo wake ameamu kuwatua akinamama wa Mkoa wa Ruvuma ndoo kichwani pia sisi kama serikali ya Mkoa tutazidi kusimamia na kulinda vyanzo vyanzo vya Maji” alisema kanali Thomas

Akizungumza kwenye hafla hiyo Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Ruvuma Ndugu Odo Mwisho alisema wao kama chama watazidi kushirikiana na bodi pamoja na mamlaka ya maji RUWASA ili kuwaamasisha Wananchi katika kuitunza na kuilinda vyanzo vya Maji.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.