• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WAZIRI wa Maliasili azindua mashine ya kisasa ya kuchakata magogo Songea

Imewekwa kuanzia tarehe: March 19th, 2021

Waziri wa Maliasilii na Utalii Dkt Damas Ndumbaro amezindua mashine ya kisasa  ya kuchakata magogo itakayosaida kuongeza thamani ya mnyororo wa mazao ya misitu na uvunaji wenye tija.

Dkt Ndumbaro amefanya uzinduzi huo katika viwanja vya parokia ya Bombambili Manispaa ya Songea

Dkt Ndumbaro amezindua mashine yenyethamani ya shilingi  milioni 110 yenye uwezo wa kuchakata mbao 450 kwa siku ambapo itafanyakazi katika Vijiji tisa vilivyofanyiwa upembuzi yakinifu wa matumizi bora ya ardhi na vyenye misitu ya kutosha kupitia mradi wa FORVAC katika Halmashauri ya Wilaya yaSongea na Namtumbo. 

Dkt Ndumbaro  amesema uwepo wa  mashine hiyo unafaida kubwa katika kuongeza thamani ya uchakataji wa  mazao ya misitu kwakuwa asilimia 60 ya mazao yanayochakatwa  nibidha inayohitajika sokoni  tofauti na awali upotefu wa mazao ya misitu ulioneka kuwa mkubwa.

Ametoa rai kwa viongozi wa Taasisi na wadau wa mazao ya misitu kuimarisha uchumi wa wananchi kwakununua na kutumia  mazao ya misitu yanayochakatwa na Vijiji kupitia mradi wa FORVAC.

“Uvunaji wa  misitu lazima ufanyike bila uvunaji hakuna thamani kwenye misutu”,amesema Dkt Ndumbaro.

Dkt Ndumbaro amewataka wadau wa misitu  Nchini wazingatie taratibu na sheria zilizowekwa katika uvunaji endelevu wa misitu pamoja na ulipaji kodi stahiki kwa Taifa,Halmashauri na vijiji wanapochakata mazao ya misitu.  

Amewakumbusha wananchi juu ya umuhimu wa kutunza misitu hasa mistu ya asili kwa kutochoma moto ovyo na kuacha shughuli nyingine za kibinadamu ambazo zinasababisha uharibu wa mazngira, mazingira yakiharibiwa  yanaathari kubwa kwa viumbehai.

Kwaupande wake mwekiti wa kamati ya maliasili  kutoka kijiji cha Muhukuru Lilahi amesema kupitia mashine ambayo Waziri Dkt Ndumbaro ameizindua wanatarajia kuingiza kiasi cha zaidi ya shilingi milioni 200 kwa mwakajambo linaloonekana kuwa mkombozi wa maisha yao

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.