• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WILAYA ya Songea ilivyodhamiria kumaliza changamoto ya madawati

Imewekwa kuanzia tarehe: March 1st, 2020

MKUU wa wilaya ya Songea Pololet Mgema ametoa siku 30 kwa watendaji wa Halmashauri za Madaba,Songea Manispaa na Halmashauri ya wilaya ya Songea kutatua changamoto za madawati katika Halmashauri zao.

Hayo yamebainika kwenye kikao kazi cha ufuatiliaji wa miradi mbalimbali kilichofanyika 25/02/2020 katika ukumbi wa Manispaa ya Songea.

Mgema, alitoa agizo hilo kwa Wakurugenzi wa Halmashauri ya Madaba, Songea DC, Manispaa ya Songea ambapo alisema hadi kufikia tarehe 25/02/2020 kwa kila Halmshauri iwe imekamilisha zoezi la utengenezaji wa Madawati shule ya Msingi na Shule za Sekondari.

“kutokana na mahitaji kuwa makubwa kuliko uwezo wa Halmashauri, hivyo nawaaagiza TFS Kutoa vibali kwa ajili ya uvunaji wa miti ambayo itaisaidia katika utengenezaji wa Madawati hayo lakini mara mtakapohitaji kukata miti hiyo ni lazima taarifa ipelekwe ofisini kwa ufuatiliaji wa zoezi hilo.” Alisisitiza.

Alibainisha mahitaji na mapungufu yaliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea kwa shule za Msingi mahitaji ya Madawati 11,584, Yaliyopo ni 10,277, Upungufu ni madawati 1,307 sawa na asilimia11. Kwa upande wa Shule ya Sekondari mahitaji ya viti ni 6,482, yaliyopo ni 4033, na pungufu ni 2449, pia mahitaji ya meza 6482, yaliyopo ni 4625 na pungufu ni 1857.

Halmashauri ya Madaba Mahitaji ya Madawati ni 531,Yaliyopo ni 578, na kufanya ziada ya madawati 62. Pia kwa upande wa Sekondari mahitaji ya meza ni 2910, yaliyopo 2891, pungufu 19 pia mahitaji ya viti ni 2910, yaliyopo ni 2831 na pungufu ya viti ni 79.

Halmashauri ya Manispaa ya Songea Kwa Shule za msingi mahitaji ya Madawati 17,827, yaliyopo ni 15,580, na pungufu ni 2,247. Pia Mahitaji Ya Meza shule za Sekondari ni 15444, yaliyopo ni 9733, pungufu 5711 na mahitaji ya viti ni 15444, yaliyopo 9990, pungufu 5454.

Aidha, katika kukabiliana na changamoto hizo kiongozi huyo amezitaja njia mbadala za utatuzi wa changamoto hizo ni pamoja na kushirikisha wadau mbalimbali, TFS kutoa vibali kwa ajili ya ukataji wa miti, kuwashirikisha viongozi ngazi ya kata/vijiji/ Mtaa pamoja na kuanzisha mfuko wa Elimu kwa halmashauri.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLLY

KAIMU AFISA HABARI MANISPAA YA SONGEA.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.