• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

ZAIDI ya asilimia 81 kidato cha kwanza waripoti sekondari Songea

Imewekwa kuanzia tarehe: February 13th, 2024

Jumla ya wanafunzi 2117 sawa na asilimia 81 wameripoti  katika shule za sekondari Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani.

Hayo yasemwa na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Neema Maghembe wakati anazungumza kwenye kikao cha Wakuu wa Shule zote za Msingi na Sekondari wa Halmashauri  hiyo kilichoongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Songea Mheshimiwa Kapenjama Ndile na kufanyika  kwenye ukumbi wa sekondari ya Maposeni mji mdogo wa Peramiho.

Kikao hicho kililenga kupata taarifa ya kuandishwa na kuripoti wanafunzi wa  Darasa la Awali, Darasa la kwanza na Kidato cha kwanza 2024 . 

Mkurugenzi huyo amesema juhudi zaidi zinaendelea kufanyika  ili kuhamasisha  wazazi na walezi kupeleka watoto shuleni.

“Tunaendelea kuwatafuta wanafunzi waliofaulu kujiunga kidato cha kwanza nyumba kwa nyumba ili wote wafike shule”,alisisitiza Maghembe.

Mkurugenzi huyo amewataja jumla ya wanafunzi 4480  wa darasa la Awali sawa na asilimia 97 wameandikishwa na wanafunzi 4536 wa darasa la kwanza sawa na asilimia 99  wameripoti Shuleni.

Akizungumza kwenye kikao hicho Mkuu wa Wilaya ya Songea Mheshimiwa Kapenjama Ndile amepongeza jitihada zinazofanywa na wakuu wa Shule ikiwa ni pamoja na ufuatiliaji ulisababisha kuongeza idadi ya wanafunzi wa Awali, darasa la kwanza na Kidato cha kwanza.

Hata hivyo Ndile Amesisitiza kuwa wanafunzi wote wenye sifa na waliofaulu kuingia kidato cha kwanza, wafike shuleni.

Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassan inatoa Elimu bure kuanzia Awali, Msingi na Sekondari

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • BODI ya kwanza ya maji yazinduliwa Tunduru

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.