• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

ZAIDI ya Shilingi Bilioni 10 fedha za UVIKO 19 zimetumika kujenga Madarasa 448 Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: September 13th, 2022

MKOA wa Ruvuma umepokea mgao wa jumla ya zaidi ya shilingi bilioni 10 ya fedha za Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na UVIKO -19 (mradi na 5441-TCRP).

Afisa Elimu Mkoa wa Ruvuma Hakimu Mafuru akitoa taarifa hiyo amesema mgao huo wa fedha kwaajili ya vyumba 448 vyenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 8 kwaajili ya Shule za Sekondari,vyumba 52 katika vituo shikizi  za shule ya Msingi zaidi ya shilingi bilioni moja na mabweni matatu yenye thamani ya shilingi milioni 240.

Amesema kupitia mpango huo wa Maendeleo kwa ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya UVIKO 19  jumla ya wanafunzi 28,356 sawa na asilimia 73.1 ya wanafunzi waliofanya mtihani wa darasa la saba mwaka 2021 na wameingia kidato cha kwanza mwaka 2022.

“Utekelezaji wa mradi huo wanafunzi wote waliopangiwa kujiunga kidato cha kwanza mwaka 2022 hawakukabiliwa na changamoto ya uhaba wa vyumba vya madarasa ”.

Hata hivyo amesema mgao wa vyumba vya Madarasa katika Shule za Sekondari H  ikiwemo Halmashauri ya  Madaba vyumba 17 jumla ya shilingi milioni 340,Halmashauri ya Mbinga mgao wa vyumba vya Madarasa 88 zaidi ya Shilingi bilioni 1,Mbinga Tc mgao wa vyumba vya Madarasa 34  Shilingi milioni 680.

Halmashauri ya Namtumbo vyumba vya Madarasa 80 zaidi ya Shilingi bilioni moja Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa vyumba vya mdarasa 44 ilighalimu shilingi milioni 880 ,Halmashauri ya Songea 46 shilingi milioni 920,Songea manispaa vyumba 26 Milioni 520,Tunduru 113  zaidi ya bilioni 2.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Serikali Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Septemba 13,2022.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.